UKIMWI: Hali na Tahadhari

UKIMWI: Hali na Tahadhari

Mwl.RCT

Platinum Member
Joined
Apr 5, 2009
Posts
15,595
Reaction score
22,334
1751260699986.png

Audio:
UKIMWI: Hali na Tahadhari
Chanzo: Aise wakuu UKIMWI ni noma
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
 
Mkuu nakumbuka juz hapo kuna lecture wetu muhindi kasema chanjo tayari ishatengenezwa na bei yake ni 23 dollar...

Hi ni kweli
 
imagine huo ugonjwa sehemu hizi
 

Attachments

  • fe18fc3e6834251f99d2d72c594978a8.jpg
    fe18fc3e6834251f99d2d72c594978a8.jpg
    88.2 KB · Views: 25
  • 5e177c4659eaad9c3db6df3553734e36.jpg
    5e177c4659eaad9c3db6df3553734e36.jpg
    64.7 KB · Views: 29
Back
Top Bottom