daisyvicky
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 343
- 198
Siku nilipogundulika nina VVU nilishtuka ila nikaja kuzoea na nikasema sitakuwa kwenye mahusiano na ikawa hivyo; tatizo ni siku za karibuni familia yangu haijui tatizo langu na imeyumba kiuchumi.
Kiukweli naona nafika mwisho, sina hela! Muda mwingine hata ya kula; nahitaji kwenda hospital pia nashindwa.
Mungu anilinde na marafiki mniombee nina wakati mgumu sana!
Aaamen.Nimekugongea LIKE sio kwamba nimependa ulivyopata UKIMWI, ila ujasiri wako huo, Basi MUNGU wetu aonaye sirini na haja za mioyo yetu akakujibu siku ya shida yako, mtumaini yeye tu, usimwangalie mwanadamu awaye yeyote, kama yeye aliruhusu uwe hai hadi leo hii basi ataruhusu na MEMA yaje kwako.
Kuna wimbo wa Bukuku-Bahati naupenda sana una maneno yanasema hivi; wewe ni MUNIGU tena ni MUNGU, hivi leo nimejua wewe ni MUNGU, kama ulivyoruhusu mabaya yaje kwangu, ndivyo uruhusu na mema yanipate, kama ulivyoruhusu MAGONJWA yaje kwangu ndivyo uruhusu UZIMA uje kwangu........Ni wimbo ambao una ujumbe mzito sana sana, MUNGU wangu wa Mbinguni ninayemtumaini na kumtegemea akakujibu haja ya MOYO wako leo, akasikie kilio chako, akasikie ombi lako leo, umuitapo akujibu upesi tena Martha Mwaipaja nae anasema hivi, Jaribu kwa mtu si kwamba ni mtenda dhambi ila ni kikombe tu ambacho ni lazima apitie, usimwone mtu anapita kwenye jaribu........Muombe MUNGU aondoe kikombe hicho, hujatenda dhambi ndugu.
Abihudi Misholi kwenye latest CD aliyotoa ana wimbo pia unasema kuwa, hakuna kikombe kinachoponyesha UKIMWI, kikubwa ni TOBA na hii ndio itakuweka huru. Basi nakuombea toba ya kweli, uzidi kuwa huru katika Kristo YESU, sote tuseme AMen
Shikamooooooooooooooooooooooooo kaka Mungi_unataka kumhamishia ghetto mazima ama...?
hana kazi ndo kamaliza chuo first degree
Pole sana dada,,, japokuwa maelezo yako hayajanyooka vizuri lakini umeeleweka..
Itapendeza kama ukitueleza in details, uligunduliwa mwaka gani, na kazi uliacha lini?, na je una familia may be mme na watoto, etc
Mungu akuongoze na akuponye kabisa vvu,, kwa imani ninaamini VVU vitaondoka vyote mwilini mwako kwa uwezo wa Mungu wetu..Amina, ubarikiwe sana dada
Siku nilipogundulika nina VVU nilishtuka ila nikaja kuzoea na nikasema sitakuwa kwenye mahusiano na ikawa hivyo; tatizo ni siku za karibuni familia yangu haijui tatizo langu na imeyumba kiuchumi.
Kiukweli naona nafika mwisho, sina hela! Muda mwingine hata ya kula; nahitaji kwenda hospital pia nashindwa.
Mungu anilinde na marafiki mniombee nina wakati mgumu sana!
Pole sana dada,,, japokuwa maelezo yako hayajanyooka vizuri lakini umeeleweka..
Itapendeza kama ukitueleza in details, uligunduliwa mwaka gani, na kazi uliacha lini?, na je una familia may be mme na watoto, etc
Mungu akuongoze na akuponye kabisa vvu,, kwa imani ninaamini VVU vitaondoka vyote mwilini mwako kwa uwezo wa Mungu wetu..Amina, ubarikiwe sana dada
simfahamu si kasema mwenyewe? soma huko juu post za mwanzoniUnamfahamu? afu wewe kuna kesi yako hapa
sasa hapo cha kufanya wewe tumia hii mitandao ya kijamiii kujiuza piga picha za kutamanisha kisha aanza kusanbaza hapo itakua fresh mpaka dawa ipatikane 2015 utaishi nao fureshi
achana nae maria...asikusababishie dhambi bure huyosikiliza ningeamua ni kazi rahisi sana ila mungu ananipenda na ninawapenda wenzangu mimi sio mungu siwezi kukuhukumu ila utapata ugonjwa wa aibu zaidi ya uo