Ukimpenda Utamjali na Kumlinda

Ukimpenda Utamjali na Kumlinda

Hahahahaha nimekusoma mkuu. Wewe ni moja wapo wa wanaolinda,si yo wewe ndo mlinzi. Ukichanganya kauli,shauli yako.
Depal nimeshakusema hapa mie siri kwenye uongo mi sinaga
Abee… kijana analinda mimi mpaka na ulinzi wenyewe unaotumika kunilinda.
Hujamuelewa? Muombe afafanue 😂
 
Abee… kijana analinda mimi mpaka na ulinzi wenyewe unaotumika kunilinda.
Hujamuelewa? Muombe afafanue 😂
Weeee, aniulize mimi. Ndo anajyojidanganya? Ameisha.
Cheo kama chake kwanza wanacho 8.
Cha chini,si chini ya 20. Sasa analindaje ulinzi unaokulinda. Bora tu asingizie kuumwa akajifariji home.
 
Weeee, aniulize mimi. Ndo anajyojidanganya? Ameisha.
Cheo kama chake kwanza wanacho 8.
Cha chini,si chini ya 20. Sasa analindaje ulinzi unaokulinda. Bora tu asingizie kuumwa akajifariji home.
Negativity will kill u 😂😂😂

Traine ur mind to see positive in every situation.
 
Nimejaaliwa wote hao, na nashuhudia ni kweli uliyosema.
Namshukuru Mungu kwa kunipa hao watu.
Nilishasifiwaga hiv hiv kila mahali ,ila mwisho wa siku nilimwacha yule dada kimasihara , mhmmm shauri yako [emoji848][emoji848]
 
Daah!! Hili neno nimelishea jana tu.
Hahaa haya dada njoo uchote na hapa neno zuri kabisa.
Afu ulivyonihoji mm, umuhoji na mkuu Rabbon Carleen 😂😂
Hahaha...!!
Hivi unajua nimetoka kufanya nilichouliza Jana, mtu kanitukana matusi nikambariki..?? Mpaka nikahisi siyo Mimi..!!

Kunani tena😀😀
Mdogo wangu ali-share hilo Neno, nikamuuliza hivi inawezekana kumbariki mtu aliyekuudhi Ile saaana..??
 
Back
Top Bottom