"Ukikosa Kware mawindoni rudi na Bundi"

"Ukikosa Kware mawindoni rudi na Bundi"

Right Marker

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
194
Reaction score
624
Aliwahi kuandika mwana fasihi MBUNDA MSOKILE kwenye kitabu chake cha USIKU UTAKAPOKWISHA, kwamba; Ukikosa Kware mawindoni rudi na bundi.

• Msemo huu uwakumbushe wale ambao wanasubiri kazi za maofisini, hawataki kazi za juani.

• Msemo huu uwakumbushe wale ambao wanatafuta mchumba (mume/mke) mwenye kila kitu, hawataki mchumba wa kutafuta nae.

ZINGATIA: Ukikosa unachokitafuta, haraka sana chukua ulicholetewa.

ONGEZA: Je, msemo huu uwakumbushe akina nani?

RIGHT MARKER
Mhadhara wa 17
Dar es Salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom