Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kuna baadhi ya wanawake wao kutoa Papuchi ni kama mzigo sana kwao unakuta wengi wanakimbilia ndoa na wanajitahidi pale mwanzoni tu ndoa ikiwa changa lakini ikifika miezi michache wanaanza kubania papuchi zao kwa kisingizio cha kutokujisikia kufanya tendo,
Wanawake ambao hamjaolewa mjue tu Ndoa ni all about sex (Ni kulana kwa kwenda mbele), Ndoa ndio sehemu pekee ambayo mpaka wazazi wako wanajua kwamba kwa sasa mtoto wetu kuna mtu anammenya na ndio maana ata mkienda kutembea ukweni mnapewa chumba cha peke yenu, kwa sababu wanajua usiku lazima uliwe tu,
Wewe kama unaona hujisikii kufanya mapenzi mara kwa mara ni vyema ukawaachia gape wale wanaojisikia waolewe na nyie mbaki kuwa Single mother mfanye kwa kutafuta watoto tu,
Cc Zero IQ
Wanawake ambao hamjaolewa mjue tu Ndoa ni all about sex (Ni kulana kwa kwenda mbele), Ndoa ndio sehemu pekee ambayo mpaka wazazi wako wanajua kwamba kwa sasa mtoto wetu kuna mtu anammenya na ndio maana ata mkienda kutembea ukweni mnapewa chumba cha peke yenu, kwa sababu wanajua usiku lazima uliwe tu,
Wewe kama unaona hujisikii kufanya mapenzi mara kwa mara ni vyema ukawaachia gape wale wanaojisikia waolewe na nyie mbaki kuwa Single mother mfanye kwa kutafuta watoto tu,
Cc Zero IQ