ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,593
- 21,634
- Thread starter
- #41
Shukrani umeeleweka loud & clearKuoga kila siku kunaondoa uwezo wa mwili kujihuisha mkuu. Ila inategemea na factors kama nilivyosema. Kwa mjoto huu wa Dar inategemea na mwili wa mtu na kama hachakariki, anaweza ku skip mara mojamoja. Inakua applicable zaidi zile siku mtu ameshinda na mwili haujachakarika sana.
Pamoja Sana!