Ukijiamini haupati Maradhi

Ukijiamini haupati Maradhi

Kuna tafiti moja inasema kuoga kila siku sio lazima,,hatar Sana!

nimewahi kuweka uzi humu kuhusu kuoga, sio lazima kuoga kila siku nilishambuliwa balaa!
Pole Sana mkuu

Dunia ina mambo mengi Ila Mda ni mchache
 
kile unachokiwaza ndio kinachokutokea ukiwaza kuumwa utaumwa ukiwaza kuwa na afya nzuri hautaumwa Cha kushangaza unakuta mtu kaandaa budget ya mambo yake mbalimbali alafu ameweka na budget ya kuumwa akiwa na Maana ni kitu Cha kawaida lazima aumwe unajichuliaa na utaumwa tu ni sàwa na kuchimba kabuli alafu uliache wazi umechimba la nini sasa?
Mkuu chukua Kwanza popcorn hapo Kwa mangi umetisha Sana

Kwahiyo kama vipi bima haina umuhimu au sio, coz inatimiza lengo la kujitakia kuumwa!
 
Kuna tafiti moja inasema kuoga kila siku sio lazima,,hatar Sana!

nimewahi kuweka uzi humu kuhusu kuoga, sio lazima kuoga kila siku nilishambuliwa balaa!
Ni kweli lakini kutegemeana na body temperature ya mtu, mazingira ya hali ya hewa na factor nyingine nyingi. Mimi pia kuna nyakati siogi naoga mara 1 au napitisha siku nzima. Ni nzuri kiafya.
 
Mzee wa Mbususu Mzabzab ataunga mkono hyo sentensi ya huyo jamaa

Kuna watu ni wazinzi hatari na kuna muda huwa hawatumii ndomu lakin hawana ngoma huwa nashangaa sjui inawezekanaje

Kwa africa bacteria ni wengi sana kula bila kunawa ni hatari sana bora kwa wenzetu huko bacteria sio sana huko hata ukila bila kunawa ni fresh tu
Mkuu kuhusu Kula mbususu na kutopata maradhi inategemeana na kupatikana Kwa michubuko katika tendo lenyewe,kama hakuna michubuko uwezekano WA kuwa salama ni mkubwa Sana

Na vile vile kama mtu anakunywa dawa za kufubaza virusi vile vile kukuambukiza inakuwa ngumu Sana.

Sasa mkuu unataka kuniambia bacteria WA ulaya hawana madhara Sana au
 
Ni kweli lakini kutegemeana na body temperature ya mtu, mazingira ya hali ya hewa na factor nyingine nyingi. Mimi pia kuna nyakati siogi naoga mara 1 au napitisha siku nzima. Ni nzuri kiafya.
Daah mkuu kwahiyo kwa maana hiyo wanao kaa katika mazingira ya baridi Sana wasijisumbue kuoga bure!
 
Mkuu kuhusu Kula mbususu na kutopata maradhi inategemeana na kupatikana Kwa michubuko katika tendo lenyewe,kama hakuna michubuko uwezekano WA kuwa salama ni mkubwa Sana

Na vile vile kama mtu anakunywa dawa za kufubaza virusi vile vile kukuambukiza inakuwa ngumu Sana.

Sasa mkuu unataka kuniambia bacteria WA ulaya hawana madhara Sana au
Kias cha bacteria kilichopo ulaya ni kidogo sana sio kama huku

Kwanza afrika unaambiwa waliwah kupima sample za mate zikakutwa na chembe chembe za mavi ya mtu,yaan idadi kubwa ya waafrika wanachembe chembe za mavi midomoni mwao
 
Ulishaona vibarua wa site wakiketewa msosi wa pamoja?Nguna Hilo apo linatakiwa lizungukwe na watu kama wote hivi
 
Ulishaona vibarua wa site wakiketewa msosi wa pamoja?Nguna Hilo apo linatakiwa lizungukwe na watu kama wote hivi
kichaa anakula jalalani ulishawahi kuona anaumwa tumbo? Nenda kale wewe jalalani sasa!
 
Mkuu chukua Kwanza popcorn hapo Kwa mangi umetisha Sana

Kwahiyo kama vipi bima haina umuhimu au sio, coz inatimiza lengo la kujitakia kuumwa!
ni biashara hiyo ya wateja wenye hofu.

panga budget yako lakini usiainishe kwamba pesa hii ni kwa ajili ya ugonjwa endapo utaumwa ni bora ukaweka kitu kingine chochote.
 
Kuna uncle wng aliniambia kipindi yuko Ethiopia ,watu wa kule pia hawanawi kabla ya kula, alikuwa akishangaa sana
 
Vichaa wanaish kweny dampo miaka nenda rudI na hata dampo likihama anahama nalo au kuhamia kwngine.....huwez skia kalazwa kwa kuumwa...na kula yao anategemea mazazo ya kweny dampo hilo...hili la usafi ni namna tu tunavyoji tune na kujijengea hofu ila kiuhalisia miili yetu imeumbwa kubadilika kulingana na mazingira
 
Daah mkuu kwahiyo kwa maana hiyo wanao kaa katika mazingira ya baridi Sana wasijisumbue kuoga bure!
Kuoga kila siku kunaondoa uwezo wa mwili kujihuisha mkuu. Ila inategemea na factors kama nilivyosema. Kwa mjoto huu wa Dar inategemea na mwili wa mtu na kama hachakariki, anaweza ku skip mara mojamoja. Inakua applicable zaidi zile siku mtu ameshinda na mwili haujachakarika sana.
 
Back
Top Bottom