Ukiitwa mwanaume tafuta pesa

Ukiitwa mwanaume tafuta pesa

Kuna wanao tafuta hela ila hawajui kuwa na hela, kuwa kibamia au kutokuwa kibamia inategemea umekutana na size namba ngap? kuna zingine unaweza weka hata ngumi ikapwaya!
Aise
 
Ila huu upuuzi wa kubishana mnaweka kina mama mnautoa wapi!? Acheni ushamba
 
Sasa wakianza kudeal na cv za wanaojiunga unadhani wewe utapita???? Kiswahili kinakupiga chenga......

Mwache mtoa mada afurahishe jukwaa leo toka asubuhi sijacheka, ila kupitia uzi huu nimecheka mnoooo
Haha chizi wee
 
Hahahh .mbona huwa hauna huruma na wanaume.. Huwa nasoma comment zako ni kuwa kosoa na kuwa kandamiza wanaume kwa nguvu zote ..kumbukuka wanaume ni kaka zako,wajomba, na baba yako ..so inabidi ututhamini ..na kutujali binti
Hamna siyo kwamba nawachukia au nawakandamiza ila nawarekebisha na na kuwaambia ukweli na mbona najua kuwa wapo wanaume wengi tu ambao wanajielewa na wanajiheshimu halafu hata hivyo wanaume ndo mnaongoza kutokuwa na huruma na wanawake kwenye mapenzi
 
Back
Top Bottom