Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,905
- 38,551
Kwani kuna kipi kinachobadilika. Itahamia nyuma badala ya mbele? Partner wangu wa kweli mimi pesa tu.
Utaacha wangapi? Na he ikiwa ni ww umecheat utahitaj msamaha au ndo uhamie huko huko????Mimi siwezi kumsameheee namuachaa.......mkumbuke asali huwa aionjwi mara moja
Mie nimeathirika na mfume dume. Mwanamke ku cheat kwangu haikubaliki. Hata kama akibakwa, nahisi nitaangalia kwanza mazingira ya kubakwa.
jamani hadi weweMimi siwezi kumsameheee namuachaa.......mkumbuke asali huwa aionjwi mara moja
Mkuu kucheatiwa kusikie tu na inauma zaid pale ww hucheat ila mwenzako anacheat. Hii kitu inauma bora hata km humpend borakama ni mara mja ata samehewa, ila zaidi ya mara moja ahamie huko huko.
Namaanisha nilichokisemaaa siwezi kumsameheee....na mwezi wako hawezi kukunyima unyumba bila sababuuu....... Ngoja nikupe kisa kimojaaa.........Hata kama alicheat kwasababu inayoeleweka, labda ulikuwa humjali, au mechi unampa mara moja kwa mwezi n.k
Not saying ni jambo sahihi la kufanya, lakini ndo hivo mtu inampelekea kucheat.
Bado pia hutamsamehe kwa sababu hizo??
Ndiyo hivyo lzm atarudia huku akijua atasamehewa.........mpk mtu amefikia hatua yakukusaliti maana yke nikuwa huna tena thamani kwakeeeeLakini kuna ukweli flani hapa.
nnasamehe mambo yote duniani ila sio kucheat,,,mechi unapewa vzur,nnajitahidi kuwajibika na kutimiza yanayonipasa bado ukadandie kwingine?ni dharau icyovumilika,,Hata kama alicheat kwasababu inayoeleweka, labda ulikuwa humjali, au mechi unampa mara moja kwa mwezi n.k
Not saying ni jambo sahihi la kufanya, lakini ndo hivo mtu inampelekea kucheat.
Bado pia hutamsamehe kwa sababu hizo??
Siwezi kumsaliti mtu nae mpendaaa.... Ukimsaliti.........Utaacha wangapi? Na he ikiwa ni ww umecheat utahitaj msamaha au ndo uhamie huko huko????
Wengine husema shetani kawapitia.Ndiyo hivyo lzm atarudia huku akijua atasamehewa.........mpk mtu amefikia hatua yakukusaliti maana yke nikuwa huna tena thamani kwakeeee
Kweli. Tena nikigundua kweli kanisaliti yani navithibiti ninanyooo mama yng mndengereko siwezi msamehee.....mtu akishafanya usaliti huna tena thamani kwake ndiyo maana lasalitijamani hadi wewe