Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #21
Mwanamme hakosi lakusema. Mashallah wamejaaliwa......
ni kweli.........
Mwanamme hakosi lakusema. Mashallah wamejaaliwa......
Ee bwana usiombe ikutokee kwa wife! Nakuhakikishia ni mojawapo ya kesi ngumu MNO, sawa na ya kufumaniwa na mke wa mtu! Sasa hiyo ishantokea live na mbaya zaidi kipande kimoja kilikuwa kikosekana!
ngumu kumesa! Namwambia huwa natumia kujichua ukiwa haupo kupunguza sugu kunako dushelele.
Miaka ya 198... nikiwa bado kwenye ndoa,
baba yenu alienda ileje akiwa na msafara wa
mkuu wa wilaya (mama mmoja ambaye alishakuwa mkuu wa mkoa wa Kili..)
kurudi katoa nguo kwenye mfuko kama kawaida, ile anatoa jaketi tu ikadondoka ndom
tena ilikuwa imetumika, alichofanya aliidaka kama paka anavyomdaka panya akaisokomeza mfukoni
akatoka nje, so lake jaza mwenyewe hapa chini.
One among the hardest question has been solved today......................... ...............
Mkuu Ruta, yalishanikuta! asikuambie mtu, ni nouma! bahati mbaya niligawiwa wala sikuwahi kuitumia wala kuwa na nia mbaya nayo! lakini moto ulivyowaka Lol.
Ntamwambia kwa mikono naogopa ntajiambukiza UKIMWI.loh........kapalampya.....unajichua na mpira si utakuumiza....................akikuuliza kwa nini usijichue na mikono utamweleza nini?
Miaka ya 198... nikiwa bado kwenye ndoa,
baba yenu alienda ileje akiwa na msafara wa
mkuu wa wilaya (mama mmoja ambaye alishakuwa mkuu wa mkoa wa Kili..)
kurudi katoa nguo kwenye mfuko kama kawaida, ile anatoa jaketi tu ikadondoka ndom
tena ilikuwa imetumika, alichofanya aliidaka kama paka anavyomdaka panya akaisokomeza mfukoni
akatoka nje, so lake jaza mwenyewe hapa chini.
Mwenyezi Mungu kakupisha na mengi....ungekuwa naye hadi hivi sasa siajabu angelikuwa kakusogezea mgeni mwilini mwako.......lol,,,,,,,,sometimes adversity is a blessing in a disguise........
Ha-ha-ha-hahaaa....Nimependa maelezo ya hapo juu kwenye red.
wakati wengine tulitoa michozi
wewe unapenda,
maujanja mengine hayafai kabisa eti eeh.
Pamoja na huruma kwa mzee lakini nilishindwa kujizuia kucheka kwa jinsi mtu mzima alivyopata ustadi wa ghafla wa kuweza kudaka kipaketi kidogo haraka na kuiminyia mfukoni .....mithili ya paka anavyomdaka panya....ha ha ha. Hata nikikumbuka popote nacheka mwenyewe kama chizi.
mbaya zaidi haikufungwa hata kwenye tissue.
hebu chukua picha uone mtu mzima alivyohangaika mkuu.