Mmmh!! Binamu ee..kumbe. Ndg IKIRIRI amekuwa match maker !! Namtakie yet aanze na 20s !!Aiseeee!
50 na wewe kama huna pesa sio ndio unaanza kutembelea rim na muda wowote Mwenyezi atakuita. ( kama sio ngoma, sukari, pressure, stress, vimada) unatusuaje kwa mfanoNajua wapo watakao pinga ila haiwezekani we mwanaume unazeeka na mke wako anazeeka hii hapana.
Lazima upate mke mpya atakayeweza na kumudu kazi za kiunyumba n.k.
Unajua wanawake wakifika 50+ wanapungua na wanakuwa hawana hisia za mapenzi ila tofauti na mwanaume.
NB: hakikisha unapata mtoto wa uzeeni haiwezekani unafikia 50+ watoto wote wanajitegemea hata mtoto wa kumtuma maji hakuna..hapana.
Oa ili mafao yako mle na viserengeti boys