Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 35,818
- 47,138
Ila mwili hujengwa kwa chakula, mazoezi, maji ili uwe imara na upate afya, je roho na nafsi hujengwa na vitu gani ?Upweke huletwa na hisia za nafsi ndani ya mwili wa nyama
Ila mwili hujengwa kwa chakula, mazoezi, maji ili uwe imara na upate afya, je roho na nafsi hujengwa na vitu gani ?Upweke huletwa na hisia za nafsi ndani ya mwili wa nyama
Niliwahi kufiwa na ndugu wawili niwapendao mkononi mwangu na kuhudhuria mochwari mara kadhaa kwakweli zile hali zilinifanya hadi leo kuona kifo kitu cha kawaida kiasi cha kukitamani sometimes!Kwakuwa umeijua siri yake
Wakati wewe unaona hayaaezekani kuna watu wanaomba kuchomwa sindano za sumu wafe bila mateso, wapo wanaojiua kwa mateso na kujitoa mhanga pia. Tambua si kila mtu anachukulia kifo kama unavyochukulia.Uongo...
Dunia ya mochwari ni ulimwengu mwingine kabisaNiliwahi kufiwa na ndugu wawili niwapendao mkononi mwangu na kuhudhuria mochwari mara kadhaa kwakweli zile hali zilinifanya hadi leo kuona kifo kitu cha kawaida kiasi cha kukitamani sometimes!
Zamani sikuweza hata kusogelea mlango wa mortuary but now naweza hata letewa kitu nikala mle ndani.
Kuna kitu tunaita near death experience, ukikutana nayo mara kadhaa wala huogopi kifo.Dunia ya mochwari ni ulimwengu mwingine kabisa
Tena ni ubatili mtupuuu🙏Hapo ndipo unaona maisha hayana maana. Kila kitu ni Ubatili
Kusingekuwa na somo la historia“Hakuna kumbukumbu lo lote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lo lote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.
”
— Mhubiri 1:11 (Biblia Takatifu)
wala kitabu cha Kumbukumbu la Torati kwenye Bible takatifu
Tena ni ubatili mtupuuu🙏
Ni kujilisha upepo.Tena ni ubatili mtupuuu🙏
Viongozi na Matajiri huwa wanaogopa kufaWadhambi ndio hukiogopa kifo..maana wamejawa na uovu