Ukifa, usijali kuhusu mwili wako...!

Ukifa, usijali kuhusu mwili wako...!

Mshana Jr...
Baada ya kifo nini kinafuata..?

Je..? Tunaenda peponi au motoni.

Au..death is the beginning of the new life..? ( I mean...life is cycle).

Vitabu vya dini vinanichanganya tu.
 
Tupo ili tufe, mauti yapo na uzuri ni kwa wote maskini/tajiri bila sahau kuoza na kuliwa na mafinyofinyo
providing-comfort-end-of-life-inline_0.jpg
 
Ukikijua hakikusumbui ila mshana wacha kiogopeshe maana waliojua maana wanamaliza wenzao. Watu wakikizoea na kuijua Siri utu hautakuwa na maana.dunia itaparaganyika.
 
Aaawh imebidi nitoke ndo nisome japo ni mchana😓😓😓😓
 
Back
Top Bottom