Ukianza na Mungu kufika hapa ni possible

Ukianza na Mungu kufika hapa ni possible

Hakika umenena mnanso, maisha hayo bila kumpa mungu nafac ya kwanza. atuongoze, kufika kwenye kusudi la mungu kutengeneza ndoa hatuwezi kufika kwa akili zetu.
 
Kwa kizazi hichi maombi na sala yanahitajika sana watu hata mwaka kwenye ndoa haujaisha washaanza mitafaruko na kuvutana kila kukicha
 
huyu bibi na huyo babu nawajuwa ni wachaga wa rombo wanapendana sana kila mahali utawakuta pamoja kanisani hukaa pamoja cha kufurahisha ukienda kwake jion utamkuta huyo bibi akimsugua babu miguu....cha kushangaza wanalala vyumba tofauti

Thibitisha hilo. Haya anza kututajia majina yao kamili kisha yaje mengine uyajuayo.....tiririka.
 
Back
Top Bottom