Tumwache mungu ashughulike na hili jambo kwa kiasi kikubwa ndipo tutakapofika hapo kama babu na bibi. All the best kwa wote wenye nia ya dhati
duha natamani sana
we sidhani aiseeUkiwa na mm tutafika huko
duha natamani sana
we sidhani aisee
cute b na sumbai hao milele daima
yeuwiiii kwa hiyo nisipende pesa nipende mwanaume ? uwiii ngoja narudiUkiwa unapenda pesa hiyo itakuwa ndoto
we mbahiliNn shida sasa??
we mbahili
nitanasuka aiseeeWe uishiwi sababu..ulianza kwa kusema mi mtt..Leo mbahili..Nwei ntakunasa tu..
Ukiamua kuwa na huyo jua kesho yake tunaambiwa Mwenyezi Mungu alimpenda zaidi. Ukiuliza kisa wivu wa Mapenziwe sidhani aisee