Ukiamini Demu itakula kwako Bro

Ukiamini Demu itakula kwako Bro

Yaani inabidi to account on table yeye analeta nini kwenye meza
Kama ni mbuny-e tu i can get it anywhere else so no offering

Ila kuna kitu nimegundua kwa miaka mingi sana mwanamke amekua akiishi kwa huruma ya mwanaume in return of submission

Sasa hawa nguruwe wa siku hizi sijui wametokea wapi
 
“Nilipopata dola milioni moja kwa mara ya kwanza kupitia muziki wangu nilikuwa na furaha sana na nikasema acha niitumie haraka. Kitu cha kwanza nikanunua studio kwa ajili ya kurekodi ngoma za wanamuziki wengine na zangu endapo tu nitakuwa sina kitu.

“Nilitumia dola laki mbili na nusu kwenye hiyo studio kwa ajili ya kununua vifaa vyake. Nikampa mama yangu dola laki moja na nusu, pia baba yangu dola laki moja na nusu. Na nikawapa kaka zangu dola elfu ishirini na tano kila mmoja ili wafanyie biashara zao.

“Demu wangu alipojua hayo, ikabidi anifuate na kuniomba dola laki mbili. Nikajikuta nacheka tu na kumpa dola elfu tano kwa sababu siwezi kumpa mwanamke zaidi ya asilimia mbili ya kile nilichokiingiza. Akaamua kuniacha, wala sikuhuzunika kwa kuwa niligundua alihitaji pesa zangu zaidi kuliko kunipenda mimi.

“Ukweli ni kwamba, kama unataka kuwa tajiri, inabidi uwe mkali sana kifedha na hawa wanawake wa kisasa.”

AKON.View attachment 3413210
Hakimi alilijua hili mapeeeema kabisa
 
Ni ngumu sana kwa mtu kama mimi kujua kama mwanamke ananipenda mimi,umaarufu wangu au pesa zangu-diamond platnumz.

sio wasanii tu,na nyinyi watu wenye hela mnatakiwa kuwa makini sana na mapenzi lah sivyo mtakuwa mnat omba pesa zenu.
 
Back
Top Bottom