Hakupendwa aelewe hilo, tukipenda huwa tunakua watulivu.
Kwa asilimia 2 ya kipato changu naona huyu demu atakula 7,500/= hii itafaa wakuu?
Nitamuambia asome ujumbe wako.Usipopenda basi usichukue hela za watu, ukichukua wewe ni Malaya
Sasa mnalia lia nini kama jukumu letu si kupenda? Ingekua ni hivyo tungekua tunabebwa na yoyote tu.Sio kweli. Kupenda sio jukumu lenu na hamtawahi kuwa nalo. Nyie ni material mongers
KweliHakupendwa aelewe hilo, tukipenda huwa tunakua watulivu.
Ofkoz mnabebwa na yeyote tu, huo ni ukweli mweupe. Cha msingi ni namna anavyochanga karata zake tuSasa mnalia lia nini kama jukumu letu si kupenda? Ingekua ni hivyo tungekua tunabebwa na yoyote tu.
Chee! PoleOfkoz mnabebwa na yeyote tu, huo ni ukweli mweupe
Matendo.Tutajuaje kama mmependa??
Tuna uzoefu usio na shaka😂Chee! Pole
Kikongwe amesha kupiga na kitu kizito ehh🤣😂🦅
Ya kikongwe yanatokea wapi?Kikongwe amesha kupiga na kitu kizito ehh🤣😂🦅
ukweli lazima usemwe 😂🦅Ya kikongwe yanatokea wapi?
Ntaacha kukuita ujue 😂
Ha ha haNo Reform, No Relationship