Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,610
- 8,736
Kuna group la Bwana Chriss Lukosi, bingwa wa minada na magari.
Huyu jamaa anajitaidi sana kutuweka kama ulaya na magari ya kisasa.
Sasa kwenye magroup kuna marange na madiscover ya UK unakuta gari umenunua milioni 14 na ushuru milioni 18.
Tena unaenda kuchukua kwake wala swala la nini wewe sio lako na range nzuri ya mwaka 2006 na kuendelea. Ila huku japan ni kwa jumla ya pesa uliyonunua ni kama umenunua gari mara mbili.
Bado na jiuliza au gari ikiwa kwenye kontena ushuru unashuka na ikija wazi ushuru unakuwa mkubwa.
Huyu jamaa anajitaidi sana kutuweka kama ulaya na magari ya kisasa.
Sasa kwenye magroup kuna marange na madiscover ya UK unakuta gari umenunua milioni 14 na ushuru milioni 18.
Tena unaenda kuchukua kwake wala swala la nini wewe sio lako na range nzuri ya mwaka 2006 na kuendelea. Ila huku japan ni kwa jumla ya pesa uliyonunua ni kama umenunua gari mara mbili.
Bado na jiuliza au gari ikiwa kwenye kontena ushuru unashuka na ikija wazi ushuru unakuwa mkubwa.