nashukuru umenielewa level ninayoizungumzia.....Fidel una warembo wangapi hapo mjini jamani?...inategemea ulimuachaje, labda ulimtapeli kimawazo na ahadi kemkem then unakuja kumwaga tu, ndio level hizo mstaarabu akimwagwa anajimwaga tu lyfe linaendelea....pole mwayego.