Ukiachwa achika!!

Ukiachwa achika!!

Nimekaribia kufika Sadolini tena hahahaha utanihaibisha sasa!!

Ahahahahahahaa oohoooo ukisikia Matata ya Kasie ndo hayooo.

Ila ukiambiwa uchague unaelekea upande upi, kosovo au sadolini hehehehehhee na ukiacha kote utakokimbilia ujue unaenda kulishwa kinyama hehehehehehee. Nakutania mwaya weeeh usijesema huyu bibi viipiii.

Karibia mwaya sijanyanyuka hata.
 
Ahahahahahahaa oohoooo ukisikia Matata ya Kasie ndo hayooo.

Ila ukiambiwa uchague unaelekea upande upi, kosovo au sadolini hehehehehhee na ukiacha kote utakokimbilia ujue unaenda kulishwa kinyama hehehehehehee. Nakutania mwaya weeeh usijesema huyu bibi viipiii.

Karibia mwaya sijanyanyuka hata.
Unazinguwa sasa hivi unajua hapo nilipo kuja ulipo ni karibu na kurudi nilipo toka ni karibu pia!!
 
Nyie sio binadamu aliyefanya hivyo. Inawezekana kabisa ni bomu limelipuka kwa bahati mbaya wakati wa jitihada za kubangua korosho
 
Watakuwa wamefumaniana ndy timbwili ww3 likatokea humo

Ova
 
Back
Top Bottom