GE2025 Ukiacha viongozi wao, wanausalama wote hawana furaha!

GE2025 Ukiacha viongozi wao, wanausalama wote hawana furaha!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wameenda kwenye majeshi, idara za usalama kwa uzalendo lakini sasa wakubwa wao wamekuwa mafisadi wakubwa na kuunga mkono unyanyasaji!

Sasa kuna tatizo jipya kubwa Tanzania la wanajeshi kuamini nao viongozi wao ni mafisadi
Hatari sana, kama hii hali itaendelea, ndani ya miaka mitano usipotokea uasi basi kuna wananchi wenye uchungu wataingia msituni na kuanza kuvizia viongozi kama yale ya kibiti, ila hii itakuwa kubwa zaidi maana watapata uungwaji mkono wa Raia wengi sio kwa maumivu aya. Kuna mbegu ilipandwa, imechipuka 29 Oct, na hakika itamea uko mbeleni kwa kuleta vikundi vya msituni ikiwa CCM na serikali kwa ujumla itashupaza shingo na kudharau hizi sauti na maumivu ya Raia.
 
Wawasikilize wananchi, kuna wendawazimu hawaogopi kufa.

Kuna viumbe wana depression na sehemu za kufia ndo kama hizo kwenye maandamano na uasi.
 
Wameenda kwenye majeshi, idara za usalama kwa uzalendo lakini sasa wakubwa wao wamekuwa mafisadi wakubwa na kuunga mkono unyanyasaji!

Sasa kuna tatizo jipya kubwa Tanzania la wanajeshi kuamini nao viongozi wao ni mafisadi
Wakuu wa vyombo wote ni wale wale tu wanakula vizuri na wakubwa ( wamewekwa mfukoni )....

Wamepewa rushwa ya mabilioni ya pesa..
 
Wameenda kwenye majeshi, idara za usalama kwa uzalendo lakini sasa wakubwa wao wamekuwa mafisadi wakubwa na kuunga mkono unyanyasaji!

Sasa kuna tatizo jipya kubwa Tanzania la wanajeshi kuamini nao viongozi wao ni mafisadi
Haijaisha mpaka iishe.
 
Back
Top Bottom