Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Waungwana wazima?
Nimejaribu kuwaza na kuona jinsi gani jamii yetu kubwa ilivyokuwa na unafiki wa hali ya juu. Kuna maisha ya hapa duniani hasa ukiwa na kipato kitokanacho na ajira ya ofisi za Umma pindi unapostafu ama kuachishwa kazi au kuamua mwenyewe kujiajiri kunatokea kutengwa na jamii uliyoishi nayo muda mwingi sehemu moja ambapo utaona hakuna ukaribu tena na hata ukisema utafute kuongea nao na kubadilishana mawazo wanakukimbia.
Hii tabia inasababishwa na nini hasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kuwaza na kuona jinsi gani jamii yetu kubwa ilivyokuwa na unafiki wa hali ya juu. Kuna maisha ya hapa duniani hasa ukiwa na kipato kitokanacho na ajira ya ofisi za Umma pindi unapostafu ama kuachishwa kazi au kuamua mwenyewe kujiajiri kunatokea kutengwa na jamii uliyoishi nayo muda mwingi sehemu moja ambapo utaona hakuna ukaribu tena na hata ukisema utafute kuongea nao na kubadilishana mawazo wanakukimbia.
Hii tabia inasababishwa na nini hasa.
Sent using Jamii Forums mobile app