Ukeketaji

Duh.thanx Excel kwa kuitika wto , hopw n mwanga mzur sana waktaka kuifuata sheria.asanteee msomi wangu. Haya mitihan mema kaka.

Thanks a lot Kan',

please enjoy this, mchana mwema!

 
Last edited by a moderator:
Huyo mtafutie mwanaume aonje utamu alafu mwambie ukishakatwa king'amuzi hakuna tena huo utamu
 
Cha muhimu ni kujaribu kumpa somo Zaidi ukimweleza hatari anaziweza kupata hata dada wa kazi wa hapa kwangu aliitwa nyumbani na alimwambia wife ni nini kitaendelea kipindi yupo nyumbani na tukampatia ushauri na kwa kweli sasa yupo Safi sana na aliludi baada ya muda mfupi na jinsi alivyo tuambia kwamba hakukeketwa
 
hako kanyama ndo steem zangu zipo hapo,du kakikatwa cna haja tena ya kugegedwa coz bila kucheza nako sifik mwisho kama tu mt anacheza loh halaf mt aanze tu kumkatia mwenzie utam wake, hiv kwani ni wjmila ya kijinga hayo
 
hako kanyama ndo steem zangu zipo hapo,du kakikatwa cna haja tena ya kugegedwa coz bila kucheza nako sifik mwisho kama tu mt anacheza loh halaf mt aanze tu kumkatia mwenzie utam wake, hiv kwani ni wjmila ya kijinga hayo

Mmmhhh ndo hapo sasa.....kinang'olewa chote hicho king'amuzi
 
Huyo mtafutie mwanaume aonje utamu alafu mwambie ukishakatwa king'amuzi hakuna tena huo utamu

Una hakika gani akitafutiwa huyo mwanaume atasikia utamu???na je nitajuaje kama hajawahi kuwa nae zaid ya hisia tu.
 
Hakuna kitu nachukia kama kulala na mdada aliyekeketwa. Wanachosha ni noma! Unaweza kutwanga mpunga tangu mtu anaondoka chalinze kwanda dar na akarudi mwanamke hajakojoa.
 
Kumbe bado upo kihome boy!!!?
Njon nkuoe tuishi pamoja wewee! Ukiandika hapa isomeke 'kwangu' instead of 'kwetu'! Understand???
Hamna jinsi, kama mnaweza mzuieni asiende kwao!
 
Kumbe bado upo kihome boy!!!?
Njon nkuoe tuishi pamoja wewee! Ukiandika hapa isomeke 'kwangu' instead of 'kwetu'! Understand???

Hamna jinsi, kama mnaweza mzuieni asiende kwao!

Chefuuuuuuu......ndoa sio malaria kila mtu augue.Hujambo lakini???
 
Hii mila inatakiwa itokomezwe kabisa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…