Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Sisi ambao tuna experience hii tunaona hali halisi, ukimkeketa mwanamke unamtengenezea mazingira magumu katika ndoa yake au mahusiano ya kimapenzi.
Kumkeketa mwanamke unamuacha kama chai isiyo na sukari.
Tupige vita ukeketaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumkeketa mwanamke unamuacha kama chai isiyo na sukari.
Tupige vita ukeketaji
Sent using Jamii Forums mobile app