Tembulukoje
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 397
- 143
Kuwachukuwa hayo makapi makubwa mawili, ilihali Slaa na Lipumba wameukimbia ukawa, ndo kifo chenu. Watu makini kuwaelewa kwa sasa ni ngumu sana. Mtabaki na vijana wahuni tu na wasiokuwa na uwezo wa kutafakari.