jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Baada ya jana usiku kwa mara nyingine MAKAMANDA na ma-infantry soldiers wa UKWELI katika ukombozi wa taifa hili DR.Slaa na kijana anayewanyima usingizi BAVICHA:
NEW VERSION H. Polepole kutupa tena makombora, vijana wengi wa bavicha wameishia kutukanatukana tu! Hii ni ishara kuwa DOZI inaingia (KURUKARUKA KWA MAHARAGE NDO ISHARA KUWA YANAIVA).
Makamanda hawa wameendelea kuweka chumvi na kuisiriba katika kidonda cha ufisadi na uadilifu kitu ambacho UKAWA ya Lowassa na 'kajeshi' kao dhaifu ka BAVICHA:NEW VERSIO hawataki kusikia sababu ya uchafu wao.
Makamanda hawa MCHANGO wao umeanza kuwafumbua macho wananchi na hasa vijana. Tumeona wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA kuandamana na kuchoma bendera za CHADEMA maeneo tofauti ya nchi kama ishara ya kumuunga mkono Dr. Slaa kwa kuweka utaifa mbele. Hii ni ishara tosha kuwa sasa CHADEMA wapo katika wakati mgumu. UKAWA inapasuka.
Sisi watanzania wengi tunaopenda uadilifu na taifa lisilo na Mafisadi TUKO pamoja na hawa makamanda wa ukweli!
POLEPOLE > BAVICHA:NEW VERSION
DR.SLAA > CHADEMA YA LOWASSA.
TUTAHESHIMIANA NA KUELEWANA TU, hamna pa kutokea, FULL DOSAGE mpaka muamke kutoka katika COMA.
NEW VERSION H. Polepole kutupa tena makombora, vijana wengi wa bavicha wameishia kutukanatukana tu! Hii ni ishara kuwa DOZI inaingia (KURUKARUKA KWA MAHARAGE NDO ISHARA KUWA YANAIVA).
Makamanda hawa wameendelea kuweka chumvi na kuisiriba katika kidonda cha ufisadi na uadilifu kitu ambacho UKAWA ya Lowassa na 'kajeshi' kao dhaifu ka BAVICHA:NEW VERSIO hawataki kusikia sababu ya uchafu wao.
Makamanda hawa MCHANGO wao umeanza kuwafumbua macho wananchi na hasa vijana. Tumeona wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA kuandamana na kuchoma bendera za CHADEMA maeneo tofauti ya nchi kama ishara ya kumuunga mkono Dr. Slaa kwa kuweka utaifa mbele. Hii ni ishara tosha kuwa sasa CHADEMA wapo katika wakati mgumu. UKAWA inapasuka.
Sisi watanzania wengi tunaopenda uadilifu na taifa lisilo na Mafisadi TUKO pamoja na hawa makamanda wa ukweli!
POLEPOLE > BAVICHA:NEW VERSION
DR.SLAA > CHADEMA YA LOWASSA.
TUTAHESHIMIANA NA KUELEWANA TU, hamna pa kutokea, FULL DOSAGE mpaka muamke kutoka katika COMA.