Hivi 30 ×60,000 ni sawa na mil 18?
Hivi 30 ×60,000 ni sawa na mil 18?
Hivi 30 ×60,000 ni sawa na mil 18?
Nchi nzima haijawahi kuwa na uchaguzi ulioleta wapiga kura m15 tu haijawahi hao m18 wa Chadema peke yake mtawatoa wapi? Labda muende kupiga na ile misukule yenu jumla
Wewe uwe unatoa hoja za msingi hiv population ya 2005 unaweza kulinganisha na 2015???au waliojiandikisha 2005 n wengi kuliko 2015,usipende kukalili
Bro,hesabu haujui hata kidoga
Hivi 30 ×60,000 ni sawa na mil 18?
Yaani kaka kuandika kote huko hata haujishtukii kwamba unakosea?!!,,
.....................
..................
Nimefanya utafiti kwa miezi nane mpaka sasa, Kuongezeka kwa umaarufu wa chama baada ya Muungano wa Ukawa, na kusinyaa kwa mbali kwa umaarufu wa Dr Slaa, UKAWA kupitia Dr Slaa ingeshindwa kwa ccm kwa asilimia 10, yaani ccm wangeshinda kwa asilimia 55-60, Na baada ya kuja Lowasa kwa mwendo huu wa kisiasa UKAWA itashinda kwa 68-75%. Jambo mhimu ni itatangazwaje washindi?
Hiyo ndio hatua waliyobakiwa nayo ambayo chaguo kuu la kimkakati liwe ni presha ya umma dhidi ya tume ya uchaguzi, pili ni kupenyeza ushawishi kwenye dola (political gov). Zaidi ya hapo ushindi ni wazi kwa UKAWA.
Nimeweka kwakifupi tu, lakini kwakirefu zaidi nyaraka ipo..
Hivi 30 ×60,000 ni sawa na mil 18?
Soma tena kasema 60,000 x watu 30 x kila mtu akalete watu 10 = kura 18,000,000.Hivi 30 ×60,000 ni sawa na mil 18?
Unafiki ni kitu kibaya sana...
Ni hoja nzuri ila haijakamilika.
Ina maana kama Dr Slaa angegombea ni nini kingezuia UKAWA kupata hizo kura 30 x 10? Au huo ni mkakati ambao Lowassa kauleta na sio mkakati wa chama au UKAWA?
Nataka mabadiliko ila kumkejeli Dr Slaa sio hekima!
Pamoja na kuwa tumeamua kwenda na Lowassa,Dr Slaa ataendelea kuheshimika kwa mchango wake.