CCM yapaswa kukubali kuwa numbers do favor Ukawa, Ukawa iachwe itawale Jiji kisha tutumie kigezo hicho kuwapima kama wataweza kuongoza hii nchi ama la......
Null Hypothesis: Hakuna utofauti wa kimaendeleo kati ya utawala wa CCM na Ukawa jijini Dar es salaam
Altenative Hypothesis: CCM/Ukawa imeleta maendeleo zaidi katika utawala wake jijini Dar es salaam
Chi square distribution will be used to test the significance of the hypothesis above
Kumbuka......Data za ccm tunazo tayari, tusubiri za ukawa kwa miaka mitano kisha tutatoa majibu ya utafiti wetu.
Then your argument could be one of the variable to be tested in the modelsubutu ccm wachie jiji la dar kwa maufisad walioyafanya ya kuuza uda kwa bei poa na mirad iliyo chini ya kiwango ukawa watoe siri ccm iumbuke? hujui kwa nn jamaa wamekomaa wanajua madudu yao wangekuwa wasaf kiroho saf wangeachia mji ufisad ni dhambi inayoitesa ccm wanapenda sna democracy shida inakuja matendo yao wengi wanataishia ndanu ya nondo ikiwa utawala utakuwa tofaut na ccm hata ww ukipata cheo unamuachaje chenge na tibaijuka hao ni mfano tu
Aibu yenu? Aibu yao?Wamevamia ndio nini!
Walikuwa NA kipi
Wamefanya nini
Acha kick zakishamba
Mbona unajivua nepi mwenyewe chama cha Machafuko CCM nichanani? Umeya wa Dar mnafanya ibadaNi sawa na kuwaelewa cdm, cuf na nccr(ukiwa) unapaswa uwe na phd taaluma ya fujo.
Vua hiyo Miwani ya fisi utanielewa tuWamevamia ndio nini!
Walikuwa NA kipi
Wamefanya nini
Acha kick zakishamba
Lazima upate PhD ya upumbavu ndio uweze kuelewa ccm aka chama cha machafukoCcm wanatia kichefuchefu ni wendawazimu na wanatumia mamlaka za serikali kulinda upumbavu wao.halafu na mamlaka zenyewe kama polisi na jiji wanayumbishwa na ccm na waoga kusimamia ukweli ili kulinda vibarua vyao wamekuwa watu wa ndio mzee bila hata kufikiri kidogo kwa akili zao.
Ccm ni ile ile hakuna mwema anaweza kukaa hukoKwa kweli hata tukiwaita ccm wahuni tutakuwa hatujakosea hawaoni hata aibu nasikia pia uhuni huu wapo pia mawaziri ambao ni madiwani wanajidhalilisha wenyewe na kupotea imani kwa wananchi siamini waziri kama Ndalichako Mbarawa Balozi Maiga na wegine wapo ktk ijinga huu.
We unadhani kazi yao uwakilishi ni ya kihuni, ama wadhani ya yafanywa hewani!!??Awa jamaa maendeleo wanafanya saa ngapi muda wote ni vurugu za kihuni. Nashauri wafanye kazi waache kutafuta kick za dezo dezo.
Chama cha Mabusha hakitaki Meya apatikane kwa sababu wamefanya makandokando mengi sana kwenye hili jijiChagueni meya tusonge mbele, mamboni mengi na majipu ni mengi.
Ukilaza wako wa kutokujua mambo umesababishwa na chama chako pendwa pale Lumumba,cha kukusaidia tafuta mtaalam aformat ubongo wako uwe na uwezo wa kufikiriAwa jamaa maendeleo wanafanya saa ngapi muda wote ni vurugu za kihuni. Nashauri wafanye kazi waache kutafuta kick za dezo dezo.
Hivi umenisoma na kunielewa vizuri au unakurupuka kunukuu na kujibu bila tafakali.Usidanganye watu meya ndio mwakilishi wa wananchi
Utafanyaje kazi utaratibu haujakamilika ??????!!Awa jamaa maendeleo wanafanya saa ngapi muda wote ni vurugu za kihuni. Nashauri wafanye kazi waache kutafuta kick za dezo dezo.
Nigekua sijakusoma nisinge kujibuHivi umenisoma na kunielewa vizuri au unakurupuka kunukuu na kujibu bila tafakali.