sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
Ni baada ya kutoka bunge la katiba kwa mbwembwe na kiburi kama timu ya mpira iliyofuzu mashindano huku wakijua na kuamini Watanzania wa sasa ni wale wa mwaka wa 47, wakaamini lengo lao la kutoka litashangiliwa na kila mtu.
Baada ya kujidhihirishia kosa lao la kukimbia majadiliano, na kukosa support ya walio wengi kuendelea kugoma kurudi bungeni, Sasa wanatamani Sana kurudi ila wanahofia kuzomewa na wabunge na wajumbe ambao hawakutoka, wala hakuna sababu nyingine.
Rai yangu kwa mh. Sitta, awahakikishie kutokuzomewa pindi watakaporudi.
Unajua BMK wamekula mabilion ya pesa wasituchezee kabisa! Bado kuna ishu nimesikia harufu kwa mbaaali ya PPRA ya ununuzi wa BVR kwa $117, zaidi ya Tsh.295 bilion!
Baada ya kujidhihirishia kosa lao la kukimbia majadiliano, na kukosa support ya walio wengi kuendelea kugoma kurudi bungeni, Sasa wanatamani Sana kurudi ila wanahofia kuzomewa na wabunge na wajumbe ambao hawakutoka, wala hakuna sababu nyingine.
Rai yangu kwa mh. Sitta, awahakikishie kutokuzomewa pindi watakaporudi.
Unajua BMK wamekula mabilion ya pesa wasituchezee kabisa! Bado kuna ishu nimesikia harufu kwa mbaaali ya PPRA ya ununuzi wa BVR kwa $117, zaidi ya Tsh.295 bilion!