UKAWA Wanadharau Mahakama

UKAWA Wanadharau Mahakama

Hivi Tanzania tuna mahakama? Mahakama hii iliyokithiri na inanuka rushwa? Hii si mahakama ni kitengo kingine cha chama cha wahuni wanachokitumia ili kutumia mabavu kubaki madarakani.
 
Tatizo lenu wana-UKAWA ni utanganyika ndio umewafumba macho! Hivi unaweza kuamini kuwa eti Kibatala na usomi wake wote alidai eti kuwa "Rasimu ya Warioba ni Sheria!" Afadhali hata Tundu Lissu hakutia miguu mahakamani!

Katika kitu nilikielewa darasani wakati mwalimu ananifundisha nimatumizi ya neno "eti" nilivyofundishwa MTU akitumia neno hilo nimwongo niwakumpuuza
 
Katika kitu nilikielewa darasani wakati mwalimu ananifundisha nimatumizi ya neno "eti" nilivyofundishwa MTU akitumia neno hilo nimwongo niwakumpuuza
Hata mimi nilifundishwa kwamba mtu akisema kuwa fulani ni muongo lakini akashindwa kuthibitisha uwongo wake, huyo mtu ni wa kumpuuza!
 
Hivi Tanzania tuna mahakama? Mahakama hii iliyokithiri na inanuka rushwa? Hii si mahakama ni kitengo kingine cha chama cha wahuni wanachokitumia ili kutumia mabavu kubaki madarakani.
Wana-UKAWA mlikuwa mmeficha makucha, sasa yameanza kuonekana!
 
Kama hulijui hili la mahakama kukithiri kwa rushwa na pia ni kitengo cha chama cha wahuni basi utakuwa unaishi nchi ya kusadikika weye, pole sana.

Wana-UKAWA mlikuwa mmeficha makucha, sasa yameanza kuonekana!
 
Kama hulijui hili la mahakama kukithiri kwa rushwa na pia ni kitengo cha chama cha wahuni basi utakuwa unaishi nchi ya kusadikika weye, pole sana.
Ni kweli mkuu kuna rushwa ndio maana wana-UKAWA akina Tundu Lissu, Lema, Mnyika, nk wamerudishiwa ubunge wao!
 
Najaribu kutafuta hayo uliyosema kwamba mahakama iliyatamka:

attachment.php

attachment.php


1.Kuna mgongano mkubwa kati ya toleo la Kiswahili na Toleo la Kiingereza la kifungu cha 25 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

2. Kwamba pamoja na mgongano huo, Sheria imekusudia kwamba Madaraka ya Bunge Maalum la Katiba yatatekelezwa kupitia Rasimu ya Tume ya M.y.K kama ilivyowasilishwa kwake.
3. Kwamba mamlaka ya BMK yana mipaka, na kwamba madaraka yake yanaongozwa na na kutekelezwa kupitia Rasimu. BMK linaweza kubadili na kuboresha mapendekezo yaliyomo katika Rasimu mradi tu maboresho yasiende kinyume na misingi iliyowekwa na kifungu cha 9 (2) cha Sheria ya M.y.K, kama ilivyokuwa pia kwa Tume.
4.Mahakama Kuu haina Mamlaka ya kuamua ni kiwango gani BMK inaweza kuboresha Rasimu kwani hilo ni suala la kisiasa, ingawa BMK inafungwa na kifungu cha 9 (2) cha Sheria ya M.y.K.

Mkuu nime-attach REASONS FOR THE DECISION!! Ukishasoma tujadili, tafadhali!
 

Attachments

Mkuu hoja yako nini hasa

1. Kwanini useme mahakama imezalauliwa na UKAWA usiseme CCM imedharau maoni ya wananchi?

2. Kwanini useme UKAWA wamedharau mahakama na usisemi ccm imevuruga msingi wa upatikanaji katiba bora?

3. Kwanini useme ukAWA wamedhrau mahakama usiseme katiba pendekezwa imekosa uhali mbele ya watanzania wote?
A) Imejadiliwa kibabe na chama kimoja yaani ccm, je tunaunda katiba ya ccm au ya taifa la Tanzania?
B) nikwa usahihi gan hasa imepata 2/3 ya wazanzibar?

Nimahakama ya kipuuzi inayotekeleza na kufanya maamuzi ya washenzii ccm unayoipigia kelele sidhani kunamahakama Duniani ya kishenzi kama hii unayoipigia kelele ikafanya upumbavu na ujinga kupindsha ukweli Ilikulinda maslahi ya wachache ccm na kuweka nyuma maslahi ya TaifaM
 
Mkuu hoja yako nini hasa

1. Kwanini useme mahakama imezalauliwa na UKAWA usiseme CCM imedharau maoni ya wananchi?

2. Kwanini useme UKAWA wamedharau mahakama na usisemi ccm imevuruga msingi wa upatikanaji katiba bora?

3. Kwanini useme ukAWA wamedhrau mahakama usiseme katiba pendekezwa imekosa uhali mbele ya watanzania wote?
A) Imejadiliwa kibabe na chama kimoja yaani ccm, je tunaunda katiba ya ccm au ya taifa la Tanzania?
B) nikwa usahihi gan hasa imepata 2/3 ya wazanzibar?

Nimahakama ya kipuuzi inayotekeleza na kufanya maamuzi ya washenzii ccm unayoipigia kelele sidhani kunamahakama Duniani ya kishenzi kama hii unayoipigia kelele ikafanya upumbavu na ujinga kupindsha ukweli Ilikulinda maslahi ya wachache ccm na kuweka nyuma maslahi ya TaifaM

1. Kwa nini usiseme Bunge Maalum limeboresha maoni ya Wananchi badala ya kusema CCM wamedharau maoni ya wananchi? Pia kwa nini usiseme kuwa Rasimu ya Warioba ilikuwa hailifungi Bunge Maalum la Katiba?

2. Kwa nini usiseme Serikali imeweka msingi wa kupata Katiba Bora kwa kuwashirikisha wananchi wote kutunga Katiba Bora badala ya kusema kuwa CCM imevuruga misingi?
3. Kwa nini usiseme kuwa Katiba inayopendekezwa itapata uhalali wakati wa Kura za maoni badala ya sasa?
Na kama unadai Mahakama ni ya kipuuzi nashauri UKAWA muunde Mahakama zenu ambapo Jaji Mkuu atakuwa ni Tundu Lissu na Majaji wengine ni akina Kibatala, Marando, nk! Hapo nafikiri "haki" itakuwa inatendeka mkuu!
 
Buchanan jamaa yangu unafikiria vizuri kweli Buchanan

1. Kwa nini usiseme Bunge Maalum limeboresha maoni ya Wananchi badala ya kusema CCM wamedharau maoni ya wananchi? Pia kwa nini usiseme kuwa Rasimu ya Warioba ilikuwa hailifungi Bunge Maalum la Katiba?

Mpumbavu kama wewe unaweza kusema hivyo nawapumbavu wengine.

1. Kuondowa vifungu vya uwazi katika mambo muhimu kama mikataba nikuboronga au kuboresha

2. Kuondo vifungu vinavyotaka uwajibika kwa viongozi nikuboronga ama kuboresha

3. Kuondoa kifungu cha kuwawajibisha wabunge wanapofanya upuuzi nikuboresha au kuboronga

Kifupi ccm imeboronga nakwaupuuzi usitufanye kama wewe wa BRN.

2. Kwa nini usiseme Serikali imeweka msingi wa kupata Katiba Bora kwa kuwashirikisha wananchi wote kutunga Katiba Bora badala ya kusema kuwa CCM imevuruga misingi?

Msingi wa mjadala na maoni ya wanachi ni rasim ya jaji Joseph Sinde Warioba

1. Nani aliyefanya savei nakukusanya maoni yanayopendekeza serikali mbili?

2. Kwanini Zakia meghji amepiga kura kama mzanzibari ilhali ameingia bungeni kupitia nafasi za watanganyika?

3. Ilikuwaje kura ya mtu ambaye hakupiga kura kuhesabiwa na hivyo zakia na yule aliehesabiwa kimakosa wanaondoa 2/3 kwazanzibar

4. Unapokuwa na chama kimoja kulazimisha mchakato tunaita katiba ya ccm au ya Taifa?

Kifupi kilipo mikononi mwa kikwete ni rasim ya ccm sio ya Taifa.

3. Kwa nini usiseme kuwa Katiba inayopendekezwa itapata uhalali wakati wa Kura za maoni badala ya sasa?
Na kama unadai Mahakama ni ya kipuuzi nashauri UKAWA muunde Mahakama zenu ambapo Jaji Mkuu atakuwa ni Tundu Lissu na Majaji wengine ni akina Kibatala, Marando, nk! Hapo nafikiri "haki" itakuwa inatendeka mkuu!

Hapa nitakupa hii kitu, nataka ueleze mahakama imefika maamuzi gani, angalia picha kisha eleza ubora wa mahakama upo wapi? nakwanini

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Hivi Tanzania tuna mahakama? Mahakama hii iliyokithiri na inanuka rushwa? Hii si mahakama ni kitengo kingine cha chama cha wahuni wanachokitumia ili kutumia mabavu kubaki madarakani.

Still inaitwa mahakama ila mahakama hizi zipo kwaajili ya kutetea mafisadi na kuwanyima watu haki zao...
 
Kujipendekeza na unafiki ndicho nakiona kwa mtoa hoja.
mpaka utakapo funguka ufahamu utajua unalokosa.
 
Back
Top Bottom