UKAWA wanachotaka ni Vyeo, Maslahi ya Wananchi Geresha tuu

Aug 16, 2014
14
6
Wadau,

Hili kundi linalojiita ukawa liligoma kushiriki katika kutunga katiba ya nchi kwa maslahi ya nchi likidai kwamba lenyewe ndio linalotetea maslahi ya nchi na watanzania kama lilivyo jina lake "UKAWA'. kundi hili, wakati wote limekuwa likisisitiza kwamba liko kwa maslahi ya watanzania wote na wala si vinginevyo.Kundi hili hili ndilo limekuwa likisisitiza kwamba mchakato wa katiba si wa vyama vya siasa, hivyo si sahihi kuhodhiwa na vyama vya siasa kwa maslahi ya vyama. kawaida njia ya mwongo ni fupi , huchukua muda kidogo tu hujitokeza katika sura yake halisi.

Swali; Ni kwa nini mambo ambayo hawa jamaa wamependekeza yabadilishwe katika katiba ya sasa iliwao (ukawa ) wawe radhi, ni yale tu yanayohusiana na madaraka? Au matokeo ya rais kupingwa mahakamani ndilo jambo lenye maslahi kwa watanzania wote kuliko mambo mengine yote? kwa nini mapendekezo ya marekebisho ya katiba ya sasa yote yaliyotolewa yanahusu uchaguzi?

Kwa haya machache tu, kwa wale wenye kuona mbali lakini bado walikuwa hawajalielewa genge hili la UKAWA, na watafakari.
 
Na Ma-CCM wanachotaka ni muendelezo wa utafunaji tu wa rasilimali za nchi na wizi katika mabenki na kwenye sanduku la kura, si kitu kingine.
 
Nenda kalale, nahisi gongo imezidi kichwani. Kilichofanywa na ukawa ni zaidi ya uzalendo!
 
swali..
je ni chama gani ambacho hakitaki madaraka ?
 
Nenda kituo cha afya kilicho karibu nawe umuone daktari wa magonjwa ya akili utapona tu. Acha bangi na madawa ya kulevya ni hatari kwa afya yako hasa ubongo.
 
Wadau,

Hili kundi linalojiita ukawa liligoma kushiriki katika kutunga katiba ya nchi kwa maslahi ya nchi likidai kwamba lenyewe ndio linalotetea maslahi ya nchi na watanzania kama lilivyo jina lake "UKAWA'. kundi hili, wakati wote limekuwa likisisitiza kwamba liko kwa maslahi ya watanzania wote na wala si vinginevyo.Kundi hili hili ndilo limekuwa likisisitiza kwamba mchakato wa katiba si wa vyama vya siasa, hivyo si sahihi kuhodhiwa na vyama vya siasa kwa maslahi ya vyama. kawaida njia ya mwongo ni fupi , huchukua muda kidogo tu hujitokeza katika sura yake halisi.

Swali; Ni kwa nini mambo ambayo hawa jamaa wamependekeza yabadilishwe katika katiba ya sasa iliwao (ukawa ) wawe radhi, ni yale tu yanayohusiana na madaraka? Au matokeo ya rais kupingwa mahakamani ndilo jambo lenye maslahi kwa watanzania wote kuliko mambo mengine yote? kwa nini mapendekezo ya marekebisho ya katiba ya sasa yote yaliyotolewa yanahusu uchaguzi?

Kwa haya machache tu, kwa wale wenye kuona mbali lakini bado walikuwa hawajalielewa genge hili la UKAWA, na watafakari.

Umetoka usingizini wewe!!
 
Au matokeo ya rais kupingwa mahakamani ndilo jambo lenye maslahi kwa watanzania wote kuliko mambo mengine yote?

ni la msingi sana maana huyu rais wa sasa hana tofauti na yule dereva aliyetaka ku overtake darajani kule musoma na kuleta maafa (r.i.p. wahanga). sasa dawa ya marais dizaini hii wanaopata madaraka kwa njia za ujanja-ujanja akiamini kuwa akishakuapishwa tu hakuna wa kumpiga, dawa yao ni hiyo.
 
Wadau,

Hili kundi linalojiita ukawa liligoma kushiriki katika kutunga katiba ya nchi kwa maslahi ya nchi likidai kwamba lenyewe ndio linalotetea maslahi ya nchi na watanzania kama lilivyo jina lake "UKAWA'. kundi hili, wakati wote limekuwa likisisitiza kwamba liko kwa maslahi ya watanzania wote na wala si vinginevyo.Kundi hili hili ndilo limekuwa likisisitiza kwamba mchakato wa katiba si wa vyama vya siasa, hivyo si sahihi kuhodhiwa na vyama vya siasa kwa maslahi ya vyama. kawaida njia ya mwongo ni fupi , huchukua muda kidogo tu hujitokeza katika sura yake halisi.

Swali; Ni kwa nini mambo ambayo hawa jamaa wamependekeza yabadilishwe katika katiba ya sasa iliwao (ukawa ) wawe radhi, ni yale tu yanayohusiana na madaraka? Au matokeo ya rais kupingwa mahakamani ndilo jambo lenye maslahi kwa watanzania wote kuliko mambo mengine yote? kwa nini mapendekezo ya marekebisho ya katiba ya sasa yote yaliyotolewa yanahusu uchaguzi?

Kwa haya machache tu, kwa wale wenye kuona mbali lakini bado walikuwa hawajalielewa genge hili la UKAWA, na watafakari.

Na CCM wanataka nini.Watanzania kweli hamnazo.Hivi lazima uandike thread.Yes, Tanzania ni ya tisa kwa ujinga kutoka nchi ya mwisho.Kwa jinsi hii ni sawa kabisa.
 
ni la msingi sana maana huyu rais wa sasa hana tofauti na yule dereva aliyetaka ku overtake darajani kule musoma na kuleta maafa (r.i.p. wahanga). sasa dawa ya marais dizaini hii wanaopata madaraka kwa njia za ujanja-ujanja akiamini kuwa akishakuapishwa tu hakuna wa kumpiga, dawa yao ni hiyo.
haa haa mbavu zangu mie!
 
Wadau,

Hili kundi linalojiita ukawa liligoma kushiriki katika kutunga katiba ya nchi kwa maslahi ya nchi likidai kwamba lenyewe ndio linalotetea maslahi ya nchi na watanzania kama lilivyo jina lake "UKAWA'. kundi hili, wakati wote limekuwa likisisitiza kwamba liko kwa maslahi ya watanzania wote na wala si vinginevyo.Kundi hili hili ndilo limekuwa likisisitiza kwamba mchakato wa katiba si wa vyama vya siasa, hivyo si sahihi kuhodhiwa na vyama vya siasa kwa maslahi ya vyama. kawaida njia ya mwongo ni fupi , huchukua muda kidogo tu hujitokeza katika sura yake halisi.

Swali; Ni kwa nini mambo ambayo hawa jamaa wamependekeza yabadilishwe katika katiba ya sasa iliwao (ukawa ) wawe radhi, ni yale tu yanayohusiana na madaraka? Au matokeo ya rais kupingwa mahakamani ndilo jambo lenye maslahi kwa watanzania wote kuliko mambo mengine yote? kwa nini mapendekezo ya marekebisho ya katiba ya sasa yote yaliyotolewa yanahusu uchaguzi?

Kwa haya machache tu, kwa wale wenye kuona mbali lakini bado walikuwa hawajalielewa genge hili la UKAWA, na watafakari.

bro ni wachache sana na wenye akili timamu watakuelewa ndugu yangu
 
Hivi wananchi pia tunaweza kumuingiza mtu hatiani?? Nilikua sijui!!

Wewe Vila shaka ni porofesa,siyo profesa,huoni viongozi wa ccm wanavyojilimbikizia mali?huduma muhimu kwa jamii hawajali,kila siku ni kuwaongezea tu gharama za maisha ili wao wanufaike,unaongea pumba tu! Prof
 
Last edited by a moderator:
Wadau,

Hili kundi linalojiita ukawa liligoma kushiriki katika kutunga katiba ya nchi kwa maslahi ya nchi likidai kwamba lenyewe ndio linalotetea maslahi ya nchi na watanzania kama lilivyo jina lake "UKAWA'. kundi hili, wakati wote limekuwa likisisitiza kwamba liko kwa maslahi ya watanzania wote na wala si vinginevyo.Kundi hili hili ndilo limekuwa likisisitiza kwamba mchakato wa katiba si wa vyama vya siasa, hivyo si sahihi kuhodhiwa na vyama vya siasa kwa maslahi ya vyama. kawaida njia ya mwongo ni fupi , huchukua muda kidogo tu hujitokeza katika sura yake halisi.

Swali; Ni kwa nini mambo ambayo hawa jamaa wamependekeza yabadilishwe katika katiba ya sasa iliwao (ukawa ) wawe radhi, ni yale tu yanayohusiana na madaraka? Au matokeo ya rais kupingwa mahakamani ndilo jambo lenye maslahi kwa watanzania wote kuliko mambo mengine yote? kwa nini mapendekezo ya marekebisho ya katiba ya sasa yote yaliyotolewa yanahusu uchaguzi?

Kwa haya machache tu, kwa wale wenye kuona mbali lakini bado walikuwa hawajalielewa genge hili la UKAWA, na watafakari.

Kwa uelewa ulionao khs UKAWA IQ=4%
 
bangi sio nzuri angalia usije ukaanza kuokota makopo barabarani.

Wadau,

Hili kundi linalojiita ukawa liligoma kushiriki katika kutunga katiba ya nchi kwa maslahi ya nchi likidai kwamba lenyewe ndio linalotetea maslahi ya nchi na watanzania kama lilivyo jina lake "UKAWA'. kundi hili, wakati wote limekuwa likisisitiza kwamba liko kwa maslahi ya watanzania wote na wala si vinginevyo.Kundi hili hili ndilo limekuwa likisisitiza kwamba mchakato wa katiba si wa vyama vya siasa, hivyo si sahihi kuhodhiwa na vyama vya siasa kwa maslahi ya vyama. kawaida njia ya mwongo ni fupi , huchukua muda kidogo tu hujitokeza katika sura yake halisi.

Swali; Ni kwa nini mambo ambayo hawa jamaa wamependekeza yabadilishwe katika katiba ya sasa iliwao (ukawa ) wawe radhi, ni yale tu yanayohusiana na madaraka? Au matokeo ya rais kupingwa mahakamani ndilo jambo lenye maslahi kwa watanzania wote kuliko mambo mengine yote? kwa nini mapendekezo ya marekebisho ya katiba ya sasa yote yaliyotolewa yanahusu uchaguzi?

Kwa haya machache tu, kwa wale wenye kuona mbali lakini bado walikuwa hawajalielewa genge hili la UKAWA, na watafakari.
 
Wanarekebisha Katiba ya 1977 kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015 ili uwe Huru na wa Haki ... Sasa unataka warekebishe mambo mengine yapi wakati Mchakato wa Katiba Mpya utaendelea baada ya Uchaguzi ? Come on Mkuu wewe ni Prof.
 
Back
Top Bottom