UKAWA wamsusia Magufuli

kwani kujali ndio serikali ifuate jinsi chadema inataka kwa hoja dhaifu za upinzani? cdm sio chama tawala hivyo wajifunze kutambua nafasi yao sio kudhani wataongoza nchi huku serikali kwa kila hali imeonyesha kufanya kile wananchi wanataka.
 
Dr. Tulizo akihudhuria haitoshi mpaka sie?
 
Hata hivyo jay one mbona mi naona huyo lissu hata hatambui alichosema anamaanisha nini maana unapompa mtu sifa ya uchwara it meanz anajifanya na sio halisi
 
Unajua ukweli lakini mahaba yanakufanya upotoshe. Ukawa wamemgomea NS. Serikali ilitakiwa kuingilia kati kumaliza tofauti hiyo lakini kwa makusudi wamekaa kimya na siku zote tuna wasikia viongozi wa ukawa wakisema kuna mpasuko unahitaji wajadili lakini ccm hawapo tayari kumaliza suala hilo kitu kinacho niaminisha nikweli NS anatumba kukandamiza wabunge wa upinzani bungeni.
 
Aliyesema raisi dictator ni nani?? Mbona mnajishtukia
 
Reactions: BAK
Aliyesema raisi dictator ni nani?? Mbona mnajishtukia

Tundu Mughway Lissu...!!❌❌❌

Hivi Mh. Rais Magufuli angekuwa DICTATOR, hata Lissu angefikishwa MAHAKAMANI KWELI..? Angepata hata podium ya kurudia rudia kusema Rais ni DICTATOR UCHWARA..? Si angempoteza tu wala asingejulikana yuko wapi..
Jamani, lazima Rais aheshimike... sio OMBI ni lazima.. Rais SIO MWENZAKO... Lazima tumheshimu na adabu tele iwepo..!! Haiwezekani mtu kama Lissu, pamoja na UHAMAHIRI WAKE KTK SHERIA, but he has to RESPECT and DISPLINE himself hata kabla ya Dola kuingilia, kuwa Rais sio wa KUDHARAULIWA TU HOVYO HOVYO... hili halikubaliki..!! hapana tuseme..!!❌❌❌❌ Heshima ni lazima, kwa Rais... hapana, sio kumtukana hovyo hovyo.. hapana hapana..!!

Inauma..!! Mh. Rais lazima aheshimiwe.. lazima..!!✔✔✔
 
Kiungo gani umetumia kufikiri hiki ulichoandika
 
kumbe mlio choka kufikiri mpo wengi! endelea kujipendekeza akupe ukuu wa kijiji.
 
Hili neno "DICTATOR" lafaa kupigwa marufuku hapa jukwaani. Hatuwezi kuendelea kumdhihaki rais kiasi hiki.
Acha mambo ya ajabu ww!! Kwahiyo Magufuli ni dikteta wa kwanza hapa Duniani?
Au yy ndie muanzilishi wa hili neno?
 
Nini maana ya dikteta? Nielewesheni

Maana yake ni mtu ambaye anawasomea wanafunzi maandishi halafu wao wanayaandika kwenye karatasi zao za kujibia maswali ya mtihani. Kwani we mkuu hujawahi kufanya mtihani wa namna hii wakati ukiwa shule ya msingi au sekondari hapa TZ? Neno dictator limetokana na neno Dictation. Na hiyo dictation ndiyo kuwasomea wanafunzi maandishi fulani halafu wao wanayaandika lengo lake likiwa ni huyo dictator kutaka kujua kama wanafunzi husika wanaijua vizuri lugha yenye maneno hayo.
 
We Vipi....nani anawahitaji UKAWA! hawana mchango wowote kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi hii! wataendelea kusota vijiweni!
 

Unawamaliza kivipi Mkuu?
 
"Mualiko ni hiyari kuja au kutokuja na wao waliitwa kula tu hakuna kingine. Wengi waliitikia wito na wengi hawakuitikia na hakuna kilichoharibika kwa kuwa Hakuna chakula kilichobaki kiasi cha kuona pengo lao"- Mtu mmoja Mashuhuri namhifadhi jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…