UKAWA waitisha kikao cha dharura



Endelea kujipa moyo
 
Kweli CCM choka mbaya, mwaka huu mmelaaniwa. Rudini tena kwa aliewatuma, hizo sio propaganda za level ya kuwekwa JF. Mwambieni na hiyo mmefail awape technic nyingine.
 
choka mbaya ni ukawa na mgombea wrnu tia majo tia maji

Kweli CCM choka mbaya, mwaka huu mmelaaniwa. Rudini tena kwa aliewatuma, hizo sio propaganda za level ya kuwekwa JF. Mwambieni na hiyo mmefail awape technic nyingine.
 
Haaa, ukiwa wameshikwa vibaya, wamebakia kutapatapa tu.
 
UKAWA IPO IMARA,WANAFIKI NA MAADUI HAMUWEZI PATA CHOCHORO LA KUUVUNJA UMOJA WETU,CHAGUA UKAWA,CHAGUA LOWASSA,HUTA JUTAi
 
Watazidi kuvurugana wao kwa wao, shughuli huku inaendelea.
 
Ukawa ni jumuiya za mpito, zinavuma na kusinyaa ghafla, tatizo ni tamaa ya madaraka.
 

Chama ambacho hakina mbele wala nyuma hatuwezi kukipa madaraka.
 
Mbowe kashachukua kilichochake, wafuasi hawajitambui wao wanazidi kubuluzwa tu, kweli nimeamini CCM itabaki madarakani milele.
 
Chama kila kukicha ni migogoro, wakubwa wanagawana wenyewe afu shida tunapata sisi wanainchi wa kawaida. Hata tutakuwa makini kutokubali ujinga huu kamwe.

toka uwepo hapa tz chama gani kimewah kukuletea hela nyumbani kwenu zaid ya kukomaa na shida ww na familia yako pumba tupu kama unaiman kiongoz wa taifa lolote lile atakutatulia shida zako bila ww kujiongoza ktk maisha yako na kupambana
 
Hivi kuna mtu makini atafanya maamuzi ya kuchagua kwa kuangalia mbowe makaidi na mbatia wanaelewana ama la! mimi nitachagua mabadiliko hata wakigombana niliowataja.
 
mbowe kama ameenda marekani anatuacha tunapambana wenyewe hapo kuna shida huko juu, kibaya zaidi mgombea wetu ni shida kujieleza mwenyewe.

mimi simsemi vibaya mh.lowasa, lakini toka aanze kampeni hajawahi kutawala jukwaa isipokuwa hisia za wananchi ndiyo zimetawala majukwaa.
Kuna clip zinaoneshwa, daah....i wish tumwombee awe na uzima, swala la kupata uraisi kupata na kukosa yote yanamhusu kama candidates wengine
 

Tehtehteh okey, kwa hiyo hata ile press ya nccr mageuzi juzi star tv ilikuwa ni uzushi sio?? Yaan mabavicha bana, sijui mbowe kawalisha nini aisee.. Daah,!! Mkapa alikuwa sahihi kabisa...
 
Jamani hili VUGUVUGU la UKAWA halina muelekeo.halina makubaliano kisheria.halikusajiliwa.mwisho kila chama kitabaki chenyewe
 
Yani kiitendo tu,Cha dharura kuwa"Dharula"Imeonekana aliyeandaa uzushi huu alivyo kilaza
Cc Moderator
yaani wewe unadhani Dhalula ndiyo sahihi na siyo dharura, LMAO,Sasa sijui kilaza nani aliyeandika Dharura au aliyedhani Dharula ndiyo sahihi?wenye kujua kiswahili wanisaidie.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…