sbikore
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 535
- 191
Kwan hapo magufuli anahusikaje?Safi sana naunga mkono uamuzi wa UKAWA. Demokrasi inabakwa na Magufuli nchini ndani na nje ya Bunge na kuwanyima UKAWA haki yao ya kikatiba ya kufanya mikutano yao, halafu bila hata aibu wanawaalika UKAWA eti wahudhurie mkutano wao!
Mbona unapenda sana kumwaga udenda nje ya maada inayokuwa mezani?