UKAWA wagomea mwaliko wa CCM

UKAWA wagomea mwaliko wa CCM

Kwani wanamkomoa nani
Hahaha
Vituko hivi
Kweli mmesusa bunge lakini hakuna tatizo kitu kikaendelea bila shida
Leo mna susia mkutano WA mahasimu wenu
Eti mnaona hoja kupatia kick
Du!!
Mmeishiwa
Hakitegemewi chema toka kwenu
 
CCM na polisi, UKAWA na wananchi? Acha ndoto za asubuhi, CCM ina wapenzi wengi zaidi ya UKAWA. Ubaya wao siyo wapiga kelele kama wa Ukawa. Hamjifunzi na matokeo ya chaguzi zilizopita.
una uhakika matokeo ya kura ktk uwazi wa tume huru ccm ingeshinda? ulza Jecha matokeo zanzibar, uliza polisi waliovamia kituo cha kukusanya matokeo ya ukawa.
 
Wananchi tuko bize na Magufuli,
Ameshusha kodi za korosho kutoka 20 hadi kodi tano tu.

Viva Magufuli.

Machadema na maukawa yakafie mbali huko
tuko pamoja nae raisi wetu kipenzi,leo hata sinza nyumba azipati wateja,mahoteli yanafungwa na maisha yanazidi kuwa matamu,hongera rais
 
Vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi vimesema havitahudhuria mkutano mkuu wa ccm utakaofanyika July 23 mjini dodoma licha ya kupata mwaliko .

Msimamo Huo imara ni muendelezo wa UKAWA kususia shughuli za viongozi na wabunge wa ccm tangu walipoanza kususia vikao vya bunge vilivyokuwa chini ya Naibu Spika ambaye ni Mwanasheria msaidizi wa serikali wa zamani na mbunge wa ccm wa mtelezo wa kuteuliwa na Rais Dk Tulia Ackson.

Chanzo - Mwananchi

MyTake - naunga mkono msimamo huu wa kishujaa , ccm walioko bungeni ni walewale watakaokuwemo kwenye mkutano huo , nyeusi haijawahi kuwa nyekundu .

CCM na polisi , UKAWA na wananchi .
Hsisaidii kitu zaidi ya kujifungia ndani na kuangalia kwenye TV na pia wstapunguza gharama za mkutano hususani chakula na malazi.
 
Jamani, huwa napata taabu sana kutamka, 'Mwenyekiti Mbowe.' Huyu kwa jinsi alivyong'ang'ania uongozi wa cdm, ingefaa aitwe Sultani Mbowe, mwaonaje? Kila nikimwangalia jamaa, naona ukimwambia aachie kiti aweza dondosha machozi.
Ccm siku mbowe akiondoka mtasherekea wiki nzima. Yule jamaa kichwa.
Sawa kabisa, tumesahau hoja ya ufisadi wasishuhudie anaechukia ufisadi na mafisadi akichukua mikoba ya Chama kilicho zalisha mafisadi safiii

Hivi waliokutukana bungeni wamebadilika nini chimwaga ?
 
Hakuna umuhimu wowote wa kuitikia wito kwa mtu ambaye anakudharau na kutumia vitisho vya kila aina dhidi yako kama vile uwepo wako ni haramu wakati uwepo wa vyama vya siasa ni halali kabisa na hili limo ndani ya katiba.

Hawana uhuru wa kuandamana, wa kufanya mikutano yao wa kuongea na vyombo vya habari (kumbuka Zitto alivyokataliwa kuongelea bajeti hewa) halafu hao hao wasiotaka UKAWA wafanye mikutano yao wanataka UKAWA wahudhurie mkutano wao!!! UJINGA MTUPU! Naunga mkono maamuzi ya UKAWA. Magufuli anapandikiza mbegu ya chuki nchini.

Alutta continua! continua

na-diclare interest, sina upande wa vyama.

Siasa sii uadui, kususia mualiko ni kuongeza na kuchochea gap kati ya vyama na siasa na zaidi watanzania. Kwa mwendo huu itafikia hatua ya kukutana sehemu na kurushiana ngumi hadharani. Nawashauri ukawa kuitikia wito.
 
Safi sana naunga mkono uamuzi wa UKAWA. Demokrasi inabakwa na Magufuli nchini ndani na nje ya Bunge na kuwanyima UKAWA haki yao ya kikatiba ya kufanya mikutano yao, halafu bila hata aibu wanawaalika UKAWA eti wahudhurie mkutano wao!
HATA WASIPOENDA INAWASAIDIA NINI CCM wAACHIE DUE LA KUKU HALIMPATA MWEWE
 
Tatizo:

Kwa tulipofikia sasa: wakihudhuria mkutano huo, usishangae "live" wakaanza kupigwa vijembe,kukejeliwa ama "kunangwa".
 
Siku hio kutakuwa na mkutano wa Ukawa jangwani,imekaaje hii ?
 
MWENDO MDUNDO,TENA NASHAURI WAFANYE MKUTANO MKUBWA DSM,MACCM YAACHWE YAZIKANE YENYEWE
 
Kwani UKAWA waliomba mwaliko!?
Wamekurupuka MACCM, yafanye uhuni dhidi ya UKAWA halafu yanageuka na kutuma mwaliko. Watu wa ajabu sana hawa.

Tatizo:

Kwa tulipofikia sasa: wakihudhuria mkutano huo, usishangae "live" wakaanza kupigwa vijembe,kukejeliwa ama "kunangwa".
 
Kwani UKAWA waliomba mwaliko!?
Wamekurupuka MACCM, yafanye uhuni dhidi ya UKAWA halafu yanageuka na kutuma mwaliko. Na hiyo dua la kuku halimpati mwewe hapa siyo mahala pake soma kwa kituo acha kukurupuka.

HATA WASIPOENDA INAWASAIDIA NINI CCM wAACHIE DUE LA KUKU HALIMPATA MWEWE
 
Sisumbuki tena na hawa watu, kesho ikionekana Mbowe kapiga picha na Kikwete utasikia 'nani alikwambia siasa ni uadui?'
 
Vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi vimesema havitahudhuria mkutano mkuu wa ccm utakaofanyika July 23 mjini dodoma licha ya kupata mwaliko .

Msimamo Huo imara ni muendelezo wa UKAWA kususia shughuli za viongozi na wabunge wa ccm tangu walipoanza kususia vikao vya bunge vilivyokuwa chini ya Naibu Spika ambaye ni Mwanasheria msaidizi wa serikali wa zamani na mbunge wa ccm wa mtelezo wa kuteuliwa na Rais Dk Tulia Ackson.

Chanzo - Mwananchi

MyTake - naunga mkono msimamo huu wa kishujaa , ccm walioko bungeni ni walewale watakaokuwemo kwenye mkutano huo , nyeusi haijawahi kuwa nyekundu .

CCM na polisi , UKAWA na wananchi .
Mbona huu ni msimamo wako c wa ukawa?
Vilaza ni wengi.
 
Back
Top Bottom