UKAWA wagomea mwaliko wa CCM

UKAWA wagomea mwaliko wa CCM

Safi sana naunga mkono uamuzi wa UKAWA. Demokrasi inabakwa na Magufuli nchini ndani na nje ya Bunge na kuwanyima UKAWA haki yao ya kikatiba ya kufanya mikutano yao, halafu bila hata aibu wanawaalika UKAWA eti wahudhurie mkutano wao!

Inachekesha sana miaka tisa unamtukana Lowassa ni fisadi leo hii umekuwa mpambe wake mkubwa!
 
Vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi vimesema havitahudhuria mkutano mkuu wa ccm utakaofanyika July 23 mjini dodoma licha ya kupata mwaliko .

Msimamo Huo imara ni muendelezo wa UKAWA kususia shughuli za viongozi na wabunge wa ccm tangu walipoanza kususia vikao vya bunge vilivyokuwa chini ya Naibu Spika ambaye ni Mwanasheria msaidizi wa serikali wa zamani na mbunge wa ccm wa mtelezo wa kuteuliwa na Rais Dk Tulia Ackson.

Chanzo - Mwananchi

MyTake - naunga mkono msimamo huu wa kishujaa , ccm walioko bungeni ni walewale watakaokuwemo kwenye mkutano huo , nyeusi haijawahi kuwa nyekundu .

CCM na polisi , UKAWA na wananchi .
Ukawa daima mbele nyuma mwiko haiwezekani ukatae nyama ule mchuzi
 
Mbowe hataki kushuhudia Jakaya Kikwete akikabidhi Madaraka kwa Magufuli

Mbowe ni Mwenyekiti Chadema Kabla Jakaya hajawa Chairman lakini kamkuta na kamuacha sasa atakosaje kuona aibu
 
Mbowe hataki kushuhudia Jakaya Kikwete akikabidhi Madaraka kwa Magufuli

Mbowe ni Mwenyekiti Chadema Kabla Jakaya hajawa Chairman lakini kamkuta na kamuacha sasa atakosaje kuona aibu
Hivi hizo fomu za kugombea uenyekiti wa ccm zimeshaanza kutolewa au zimeisha?
 
Safi sana naunga mkono uamuzi wa UKAWA. Demokrasi inabakwa na Magufuli nchini ndani na nje ya Bunge na kuwanyima UKAWA haki yao ya kikatiba ya kufanya mikutano yao, halafu bila hata aibu wanawaalika UKAWA eti wahudhurie mkutano wao!
Kweli kiongozi ccm ni wanaendelea na ubaguzi wao hakuna haja ya kuwaendekeza
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ukawa wakienda chimwaga tutawazuia mlangoni wataenda mfanyia fujo dr.tulia.
 
na-diclare interest, sina upande wa vyama.

Siasa sii uadui, kususia mualiko ni kuongeza na kuchochea gap kati ya vyama na siasa na zaidi watanzania. Kwa mwendo huu itafikia hatua ya kukutana sehemu na kurushiana ngumi hadharani. Nawashauri ukawa kuitikia wito.
 
na-diclare interest, sina upande wa vyama.

Siasa sii uadui, kususia mualiko ni kuongeza na kuchochea gap kati ya vyama na siasa na zaidi watanzania. Kwa mwendo huu itafikia hatua ya kukutana sehemu na kurushiana ngumi hadharani. Nawashauri ukawa kuitikia wito.
Heshima huwa haiji hivi hivi.Hata uhuru tuliupigania hatukupewa kama zawadi.
 
CCM na polisi, UKAWA na wananchi? Acha ndoto za asubuhi, CCM ina wapenzi wengi zaidi ya UKAWA. Ubaya wao siyo wapiga kelele kama wa Ukawa. Hamjifunzi na matokeo ya chaguzi zilizopita.
Mkuu si vema kufukua makaburi , ukiwekewa matokeo ya uchaguzi humu utakimbia mjomba , ccm ina watu wachache mno .
 
Sawa kabisa, tumesahau hoja ya ufisadi wasishuhudie anaechukia ufisadi na mafisadi akichukua mikoba ya Chama kilicho zalisha mafisadi safiii
 
na-diclare interest, sina upande wa vyama.

Siasa sii uadui, kususia mualiko ni kuongeza na kuchochea gap kati ya vyama na siasa na zaidi watanzania. Kwa mwendo huu itafikia hatua ya kukutana sehemu na kurushiana ngumi hadharani. Nawashauri ukawa kuitikia wito.
Hivi waliokutukana bungeni wamebadilika nini chimwaga ?
 
Mbona kwenye kupokea madawati walienda wakati hawakuchangia hata mia??
Unapojua wewe ni mjinga epuka kuni quote. Wewe kwa akili yako zile Pesa zilizotoka bungeni ni michango ya wabunge wa ccm?
Kwa taarifa yako ni Pesa zilizo punguzwa kutoka kasma mbalimbali zilizokuwa zimepetishwa kwa matumizi ya bunge. Jifunze mambo kabla hujaleta upoyoyo hapa
 
Wananchi tuko bize na Magufuli,
Ameshusha kodi za korosho kutoka 20 hadi kodi tano tu.

Viva Magufuli.

Machadema na maukawa yakafie mbali huko
Ameshusha kodi na bei ni Ile Ile ya sh.1200 ya mwaka 2010
Hadi 2015 bei ni hiyo hiyo tena unalipwa sh.1000
Sh.200 unadai kweli nimeamini aliyewaroga kafa.
 
na-diclare interest, sina upande wa vyama.

Siasa sii uadui, kususia mualiko ni kuongeza na kuchochea gap kati ya vyama na siasa na zaidi watanzania. Kwa mwendo huu itafikia hatua ya kukutana sehemu na kurushiana ngumi hadharani. Nawashauri ukawa kuitikia wito.

Ni heshima kubwa kwa Mungu kumzomea fisadi Lowassa.. By Lema
 
Mbowe hataki kushuhudia Jakaya Kikwete akikabidhi Madaraka kwa Magufuli

Mbowe ni Mwenyekiti Chadema Kabla Jakaya hajawa Chairman lakini kamkuta na kamuacha sasa atakosaje kuona aibu
Hahahahaha
Cc Ritz
 
Kwani wanamkomoa nani
Hahaha
Vituko hivi
Kweli mmesusa bunge lakini hakuna tatizo kitu kikaendelea bila shida
Leo mna susia mkutano WA mahasimu wenu
Eti mnaona hoja kupatia kick
Du!!
Mmeishiwa
 
Back
Top Bottom