Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,006
- Thread starter
-
- #61
Sikubaliani na Wewe... Mambo mengine Tusiwe wajinga kiasi hiki.. ni sawa na Kusema AfyaBora Hailetwi na kuoga Mara kwa Mara
Sikubaliani na Wewe... Mambo mengine Tusiwe wajinga kiasi hiki.. ni sawa na Kusema AfyaBora Hailetwi na kuoga Mara kwa Mara
Sikubaliani na Wewe... Mambo mengine Tusiwe wajinga kiasi hiki.. ni sawa na Kusema AfyaBora Hailetwi na kuoga Mara kwa Mara
Bavicha akili zao anashika Mbowe...na mbowe ndiye mbayuwayu leo anatangaza kususia bunge,kesho anaingia kimya kimya.Sikubaliani na Wewe... Mambo mengine Tusiwe wajinga kiasi hiki.. ni sawa na Kusema AfyaBora Hailetwi na kuoga Mara kwa Mara
Mjitambue vijanaNyie ndo vilaza yan mpaka mshikiwe fimbo ndo muoge hamuoni aibu Alafu mnawalaumu ukawa au ulikuwa Unataka waje wakuogeshe utakaa sana
Kijana..unajidhalilisha sana....kiongozi anapozindua kampeni..lazima kuna mikakati atasimamia...kwa hiyo wewe hutaki kujirekebisha?...Mbowe kaweka akili zenu kwenye chupa anatembea nazo nyie kawaachia za kuvukia barabara tu.no wonder! mizoga ile unayo mika akumi ijayo mkuu! huna namna bali kuwa mpole tu! maana hizi dua za kuku wala hazisaidii
ungesema tatizo la hilo zoezi ni nini...hili liboreshwe
1. madampo hakuna dar
2. dustbins hakuna dar
3. magari ya kuzoa taka n.k ni kama havipo
amefanya good initiation ila bado anatakiwa kwenda another mile!! inawezekana tukiwa na nia
ni nchi yetu, mji mwetu, wageni wakija tunaaibika wote,
hizo chuki zako za uchaguzi hazina nafasi unajionyesha ulivyodhaifu
watoto wako na mme wako wako nchi hii na mji huu( sorry kama hauko sumbawanga)
issues za Lumumba ( au kuandika neno tu Lumumba) hakukufanyi kuwa mtu muhimu wa mijadala ya kutamanika na kufirika JF
WE NEED YOUR BRAIN..WE NEED TO LEARN FROM YOU, we dont need these shits!
mimi siyo CCM wal CDM...take that,
Maigizo mengine, yaani watu wanafagia sehemu isiyo na uchafu! Tupende kuwa wakweli kuna mambo mengine hayahitaji maigizo. Kama kweli tunataka kutekeleza kwa vitendo agizo la Mheshimiwa Rais, tusifanye maigizo kama haya ya kufagia maeneo yasiyo na uchafu ili kupata picha za kwenye magazeti.Hivi hapo juu nani anafanya usafi kati ya Ukawa na makonda? Yaani mnachagua location safi kuonesha mnafanya usafi
Kuyapata hayo ma dustbin sasa. Utatembea Posta mpaka Kimara mwisho umeshika tu hilo ganda mkononi.Unakoelekea utasema kodi unayolipa itumike kushughulikia usafi wa mwili wako...yaani kukuchambia
Usafi unaanza na wewe kwanza na hilo ndilo Makonda anasisitiza...ukila ndizi ganda lake weka kwenye dustbin na sio kurusha barabarani...
Siendi kwenye usafi wa kulazimishanaAmani iwe kwenu.
Katika hali ya aibu mameya na madiwani wanaounda vyama vya ukawa jijini Dar Wamegomea kampeni ya usafi.Ikumbukwe serikali iliagiza kuwa na utaratibu wa kufanya usafi angalau mara moja kwa mwezi.
Majibu waliyoyatoa ni kuwa eti,wako "bize na masuala ya maendeleo ya wananchi".Usafi je?
Aibu nyingine ni kuwa, wameshinda kwenye mitandao ya kijamii kukosoa na kutoa unabii kuwa zoezi hili la usafi "lishindwe"..wamekuwa wakitowa picha za kejeli na kudhalilisha.
Ikumbukwe tabia hii ya kususa ni muendelezo wa "msuso" wa uchaguzi,"msuso" uchwara kwenye bunge la bajeti nk.
Ushauri.
Tabia hizi za kususia maendeleo zinawaweka katika hatari ya kuchokwa na baada ya miaka mitano mtapewa adhabu kali na wananchi.Msiruhusu ujinga kutamalaki miongoni mwenu.
Ni akili gani unatumia kwa kuandika kitu kama hiki?Acha uzoba na umburula maendeleo hayaji kwa kufagia taka
naona unahamisha magoli tu,ahahaha!Kubenea,Mnyika,Mtulia na Mwita walikuwa maeneo gani?
we kweli una utapia mlo wa akili!Kamera kwenye Usafi hapana ila bungeni ndio....!!
Kweli kizazi cha wanafiki
Wewe jidanganye rafiki yangu; hakuna cha usafi hapa. Siasa tu. Wewe subiri uone.Amani iwe kwenu.
Katika hali ya aibu mameya na madiwani wanaounda vyama vya ukawa jijini Dar Wamegomea kampeni ya usafi.Ikumbukwe serikali iliagiza kuwa na utaratibu wa kufanya usafi angalau mara moja kwa mwezi.
Majibu waliyoyatoa ni kuwa eti,wako "bize na masuala ya maendeleo ya wananchi".Usafi je?
Aibu nyingine ni kuwa, wameshinda kwenye mitandao ya kijamii kukosoa na kutoa unabii kuwa zoezi hili la usafi "lishindwe"..wamekuwa wakitowa picha za kejeli na kudhalilisha.
Ikumbukwe tabia hii ya kususa ni muendelezo wa "msuso" wa uchaguzi,"msuso" uchwara kwenye bunge la bajeti nk.
Ushauri.
Tabia hizi za kususia maendeleo zinawaweka katika hatari ya kuchokwa na baada ya miaka mitano mtapewa adhabu kali na wananchi.Msiruhusu ujinga kutamalaki miongoni mwenu.
Kuwa huru acha kutumia akili za kimbowe, toka kwenye utumwa wa kifikra na utaona nuru mbele yako!Acha uzoba na umburula maendeleo hayaji kwa kufagia taka
Lakini huletwa na kipindupindu kwa sababu ya uchafu!Acha uzoba na umburula maendeleo hayaji kwa kufagia taka
Huyo bado atakuwa anazungusha mikono kumbe wenzake walishaacha kitambo.Kuwa huru acha kutumia akili za kimbowe, toka kwenye utumwa wa kifikra na utaona nuru mbele yako!
Usipende kujitoa ufahamu kwenye mambo ya msingi.....tunahitaji meya na diwani kuwa mbele...na hao ni wanasiasa.Jikite kwenye mada kwa hoja na sio kelele!.kwani huu usafi unafanyika kichama???
mara nyingine kama hamna vya kupost muwe mnakaa kimya mnajishushia heshima sana.
Kijana usipende kuongea propaganda kwenye kila jambo.Kuyapata hayo ma dustbin sasa. Utatembea Posta mpaka Kimara mwisho umeshika tu hilo ganda mkononi.
Kijana saaa hata nyumbani mligoma?..ninachoweza kukuambia kila kampeni lazima iwe na championi.Mzee Makamba alisimamia upandaji miti dar na mambo yalienda.Huwezi kufanya usafi kama stunt...
Jana Clouds walikuwa wanakava huo usafi tangu asubuhi...
Ni ujinga sana kuwalazimisha UKAWA waje kwenye suala ambalo liko personalised kama la Makonda...
Yani watu ambao hawakupigiwa kura Dar wanajifanya ni wa muhimu sana kuliko waliopigiwa kura...
Ni ujinga sana!