UKAWA wagomea kampeni ya usafi Dar!

Hivi ule uchafu mlioukusanya na Magu mmeshautoa tangu mwaka Jana?

UKAWA hawafanyi maigizo... Wameagiza nagari ya kisasa ya taka kwa kila Kata

Nyie endeleeni kupiga picha maana usafi ni Tabia sio show offs
 
Wazee wa kufuata upepo kwa hili umebugi jipange tena
 
Ccm acheni kuleta chuki katika taifa. Jana ukawa wameshiriki vizuri kabisa kwenye usafi. Meta Mada utakuwa umepigwa na mmeo si bure
Kubenea,Mnyika,Mtulia na Mwita walikuwa maeneo gani?
 
Usafi ni tabia inayojengwa sio usanii wa kubeba makamera na kuongozana nayo kufagia. Nakubaliana na kukataa tabia za kinafiki nafiki zinazochukua kasi ya ajabu katika nchi hii.
Tusipoangalia itafika mahali kila mtu atakuwa mnafiki Tanzania nzima.
Kamera kwenye Usafi hapana ila bungeni ndio....!!

Kweli kizazi cha wanafiki
 
Yule mwenyekiti wao wa taifa wanamfuata kila analosema labda amewakataza
 

Ukweli ni kwamba watumishi serikalini ndio waliochukua tenda za usafi hapa jijini ikiwa pamoja na kumiliki kampuni za kuzoa takataka na hivyo hulipwa fedha nyingi sasa inakuwaje wananchi watumike kufanya usafi?je sio kwamba hizo kampuni zinalipwa bure bila kufanya hiyo kazi?
 
Ila kweli
 
Hawa jamaa sijui nani yupo kwenye bongo zao
Du! Naamini ni wana siasa VILAZA dunia nzima kuwahi tokea
 
Gari la taka lilikuwa linakuja mara moja kwa wiki siku hizi linakuja mara moja kwa mwezi tena kwa bahati, kata haina dampo la kutupa takataka..kinachotokoea takataka zimezagaa mitaani toka siku ya usafi.
Vitu vingine inahitaji kujipanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…