UKAWA tulianzia hapa, Sasa kitu muda tu

UKAWA tulianzia hapa, Sasa kitu muda tu

Mtia nia

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
285
Reaction score
83
2010 chadema walisema muda wa siku moja ya kupiga kura hautoshi.

Baada ya rais kutangaza baraza ukasema anaharakisha nini muda upo tu.

Muda wa kujadili katiba mpya hautoshi et tutumie mwaka au miaka.

Muda wa kuisoma hautoshi.

Muda wa kuipigia kura ya maoni hautoshi.

Muda wa kuandikisha watia kura kwa BVR hautoshi et usitishwe.

Sasa muda wa kusoma miswada hautoshi.

Nyie mnatengeneza mazingira ya kuzorotesha mipango ya serkal ili mpate cha kuongelea mtaani mpate kiki.
 
  • Thanks
Reactions: Gor
Mtia nia

Hebu wewe tuambie ni muda gani umetosha mpaka sasa? Kura ya maoni imepigwa? BVR Mabo yako sawia? Kajipange uje kivingine na sio kulia lia humu haitokusaidia lolote.
 
Last edited by a moderator:
Mtia nia

Unaonyesha madhaifu makubwa ya div 5
 
Last edited by a moderator:
Mtia nia

kati ya hayo yotee uliyoorozesha, lipi la uongo hapo, japo moja tuu
 
Last edited by a moderator:
acha kuongea mambo in a general way,unachanganya mambo mengi kwa wakti mmoja ,mambo yote hayo yanatokea kwa mazingira tofauti.

Swala la mswaada lilikua si jambo la haraka kama unavyotaka liwe 'acha kuzungumza mambo kiwepesi ndugu Yang -
 
Back
Top Bottom