UKAWA tuache kujamini kuliko kiwango kazi bado nzito

UKAWA tuache kujamini kuliko kiwango kazi bado nzito

WATANABE

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
1,092
Reaction score
468
Psychologists have determined that overconfidence causes people to overestimate their knowledge, underestimate risks, and exaggerate their ability to control events.

Nimekuwa nikifuatilia kwa kina matukio na mijadala inayohusu kampeni za uchaguzi mkuu unaoendelea na nimegundua kuwa wapenzi ana mashabiki wa ukawa wanajimini kuliko kiwango hali inayowapunguzia ari ya kujituma. Matahalani kwanini hatujiulizi ni kwanini wanawake wengi wanahidhuri mikutano ya kampeni ya Mhe Magufuli kupita ya Mhe Lowassa?

Aidha tunashindwa kutumia vyema baadhi ya matarajio ya wapiga kura kama vile suala la Tanganyika, Katiba Mpya na kuwakumbusha wapiga kura matukio mbali mbali ya ufisadi yaliyotokea wakati wa utawala wa JK na kuwafafanuliwa wapiaga nkura jinsi yalivyowaathiri kijamii na kiuchumi
 
Psychologists have determined that overconfidence causes people to overestimate their knowledge, underestimate risks, and exaggerate their ability to control events.

Nimekuwa nikifuatilia kwa kina matukio na mijadala inayohusu kampeni za uchaguzi mkuu unaoendelea na nimegundua kuwa wapenzi ana mashabiki wa ukawa wanajimini kuliko kiwango hali inayowapunguzia ari ya kujituma. Matahalani kwanini hatujiulizi ni kwanini wanawake wengi wanahidhuri mikutano ya kampeni ya Mhe Magufuli kupita ya Mhe Lowassa?

Aidha tunashindwa kutumia vyema baadhi ya matarajio ya wapiga kura kama vile suala la Tanganyika, Katiba Mpya na kuwakumbusha wapiga kura matukio mbali mbali ya ufisadi yaliyotokea wakati wa utawala wa JK na kuwafafanuliwa wapiaga nkura jinsi yalivyowaathiri kijamii na kiuchumi

Mkuu umenichekesha sana, hawawezi tena kuyaongea unayoyatamani maana msululu wa maswali utakaowafata utawamaliza, namna nzuri ni kukaa kimya halafu kusubili benefit of doubt, kama hili la elimu bure, hawasemi bure kwa kiwango gani? ada ndo bure au hadi maradhi, chakula, mavazi ni mengine???
 
Mkuu suala la wanawake kujaa kampeni za Magufuli na CCM kwa ujumla liko wazi ndio maana Lowasa aliwaita BAWACHA na makundi yote ya akina mama kuzungumza nao kabla ya kuanza kampeni na BAWACHA kumuahidi kuomba KURA kwa akina mama. Labda nikutoe hofu CCM imebakiwa na asilimia ndogo sana ya WANAUME NA VIJANA wanaowaunga mkono na kuhudhuria kampeni zao ndio maana unaweza kuona gap la wanaume kwenye mikutano ya CCM na kuona kama wanawake wamejaa. Ila UKWELI ni kwamba CCM imebakiwa na kama asilimia 40% ya wanawake (bila kuwajumuisha wasichana) wote wanaoiunga mkono wakati UKAWA ina asilimia 80% ya wanaume na vijana inaowaunga mkono.

Pia Mikutano ya Lowasa na UKAWA vijana wanakuwa na mihemko sana ya kutaka kukaa mbele kitu amabacho WANAWAKE wanashindwa kuhimili wengi wa wanawake wanakaa nyuma kuogopa fujo za vijana na KAMERA za vyombo vya habari vina concentrate kuonyesha picha kwenye maeneo ya watu walipobanana na hawaponyeshi maeneo yote ya mahudhurio. Kama huamini hilo angalia TV zote wameonyesha sehemu zenye Gap? Ni hayo tu Mkuu.
 
Mkuu umenena point ktk mkutano wa mgombea mwenza ukawa Jana mjini urambo mkoa tabora walihudhuria vjana wengi wa kiume ila kwa wanawake niseme labda walikuwa ni 10% ya waliohudhuria mkutano ule hapa kuna tatizo
 
Fact ni kwamba UKAWA wanashinda urais na wabunge lukuki ila je, itaziweza fujo za CCM na viongozi wake/?
 
Km tukiwa rational kiasi hk,tutalitendea haki taifa.Bado watu wanaoambatana na Lowasa hawana haiba ya kutosha kuwafanya waaminike kwa kuwaongoza.Wengı nı watu wa kawaıda ambao hawana record yoyote.Wananchi wanaamini viongozi wazuri ni wale wenye mwonekano mzurı kıumbo,kimwonekano,kimavazi,kiutendajı na popularıty.Lowasa anatembea na watu ambao hata wakisamamishwa watu hawawasıkilizi zaidi ya kumshangilia yeye muda wote.
 
unataka kusema nini sasa hebu sema tena.
 
Mkuu umenichekesha sana, hawawezi tena kuyaongea unayoyatamani maana msululu wa maswali utakaowafata utawamaliza, namna nzuri ni kukaa kimya halafu kusubili benefit of doubt, kama hili la elimu bure, hawasemi bure kwa kiwango gani? ada ndo bure au hadi maradhi, chakula, mavazi ni mengine???

Ndio washindwe hata kuisemea hata ile Bilioni 225 iliyofisadiwa wizara ya Ujenzi? Hivi ukitandika noti za elfu kumi toka Dar ilikutimia Bilioni 225 zitafika wapi? Nafikiri wasemaji wengi wapo busy majimboni
 
CCM ni ngoma nzito.

Naona mshaanza mchechetu.

Na bado.
 
Mkuu umenichekesha sana, hawawezi tena kuyaongea unayoyatamani maana msululu wa maswali utakaowafata utawamaliza, namna nzuri ni kukaa kimya halafu kusubili benefit of doubt, kama hili la elimu bure, hawasemi bure kwa kiwango gani? ada ndo bure au hadi maradhi, chakula, mavazi ni mengine???

Kabisaa mkuu wapowapo na wanalindwa na mafuata Mkumbo yasiyo jua kutumia ubongo
 
Tunachofuatilia ni mbinu wanazobuni za kuiba kura tu.

Huko kwingine Lowassa anaenda kujionyesha tu. Lowassa hana chochote anachoweza kuwaambia wananchi wakakiona ndo msingi wa kumpigia kura zaidi ya kwamba wananchi wameamua kuipiga chini CCM tu...basi...
 
Fact ni kwamba UKAWA wanashinda urais na wabunge lukuki ila je, itaziweza fujo za CCM na viongozi wake/?

Hilo neno WANASHINDA wewe hujui na mimi sijui.Usiaminishe watu usichokijua.Piga kura tupate mshindi tarehe 25 Oktoba.
 
Mkuu umenichekesha sana, hawawezi tena kuyaongea unayoyatamani maana msululu wa maswali utakaowafata utawamaliza, namna nzuri ni kukaa kimya halafu kusubili benefit of doubt, kama hili la elimu bure, hawasemi bure kwa kiwango gani? ada ndo bure au hadi maradhi, chakula, mavazi ni mengine???

Kweli tunahitaji elimu ya bure.Yaani hujui tofauti ya malazi na maladhi?!Ehe! Haya hao ccm kama wamekufanya hivyo utafikiri sawasawa kweli? Hata hivyo ccm wanawake bado wanagawiwa khanga na viblauzi...sio wanakwenda tu....ndo elimu inatakiwa hapo...Zaidi watanzania hasa wanawake ndio waathilika wakuu wa hili janga ccm.Rejea ukosefu wa maji,huduma duni za afya,kuhudhurisha watu mashuleni tu na wasipate walichofuata aaaagh....nawe ongezea!
 
Fact ni kwamba UKAWA wanashinda urais na wabunge lukuki ila je, itaziweza fujo za CCM na viongozi wake/?

THUBUTU! Hizo fujo zina tija kwa ccm tu na inabagua?maana fujo yoyote inakula kote....waache hiyo mara moja!....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom