iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 289
Kwa muda wa mwezi sasa, Lowassa amekuwa akitembea Dar mara moja kila week? kwani sehemu nyingine hakuna Watanzania? au hali ni mbaya?
Kwa muda wa mwezi sasa, Lowassa amekuwa akitembea Dar mara moja kila week? kwani sehemu nyingine hakuna Watanzania? au hali ni mbaya?
Mtoa mana unaumwa akili.kwani ukawa ni lowasa tuu.mikutano inayotangazwa na isiyo tangazwa ipo dar tu
Kwa muda wa mwezi sasa, Lowassa amekuwa akitembea Dar mara moja kila week? kwani sehemu nyingine hakuna Watanzania? au hali ni mbaya?
Wana UKAWA wanasema Lowassa anakubalika zaidi mjini, Magufuli anakubalika zaidi vijijini.
KWA TAARIFA YENU, watanzania asilimia 13% tu ndio wako mijini, hiyo iliyobaki asilimia 87% wako vijijini, kwanini msingeenda kukaa huko vijijini zaidi? kama ratiba yenu ndio hii ya mikutano mitatu mitatu Dar, basi CCM ndio mana hata hawajishughulishi sana. kweli uchaguzi huu ni rahisi kwa ccm kuliko 2010. Dr. Slaa akili kubwa ulienda wapi uuuuuuuuwi !!!
- Msemaji Huru[/QUOTE
Kijana,naomba uthibitishe kauli zako hizi za asilimia ya watu vijijini na mijini kwa takwimu na vielelezo toka sensa na nec
... watanzania asilimia 13% tu ndio wako mijini, hiyo iliyobaki asilimia 87% wako vijijini,..
Umeisoma ratiba ya mikutano yao? Unaifahamu? Nadhani tusikimbilie kutoa mahitimisho wakati hatujui hata ratiba wala mpango kazi wao wa ushindi. Kumbuka wanafanya kampeni za akili na sio fiesta na kupiga push ups. Tutofautishe mambo