MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 9,964
- 14,578
Umetoka bafuni na taulo wakimbilia kuandika Topic. Kaa chini tuliza akili. Omba ratiba kama huna upewe.
Kijana wa Masaki alikuwa shift ya usiku
Umetoka bafuni na taulo wakimbilia kuandika Topic. Kaa chini tuliza akili. Omba ratiba kama huna upewe.
Kwa muda wa mwezi sasa, Lowassa amekuwa akitembea Dar mara moja kila week? kwani sehemu nyingine hakuna Watanzania? au hali ni mbaya?
Kwa muda wa mwezi sasa, Lowassa amekuwa akitembea Dar mara moja kila week? kwani sehemu nyingine hakuna Watanzania? au hali ni mbaya?
Kosa alilofanya Dr. Slaa 2010 ni kutofika mikoa yote. Yeye alijikita kule Chadema walipokuwa na nguvu. Huyu Lowassa ameweka mikoa yenye nguvu kiporo!
Pia mgombea mwenza wake 2010 hakuwa na nguvu bara na visiwani. Mwaka huu mgombea mwenza ni mwanasiasa mahiri na atasaidia kuleta kura Zanzibar na mikoa ya kusini!
Wadhungu wanasema "You do the math"
usijitoe ufahamu wewe angeenda vijijini bado ungekuja hapa utuambie watz wengi wapo mjini! mwaka huu mmeshikwa pabaya
Hujui ratibaaaaaaaa
ila huu ushindi huu unaoelekea CCM, umesababishwa na mambo makuu mawili :-
1. Tanzania bado ni vijijini zaidi
2. CCM ni kila kitu kwa sasa kioganizesheni