TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,203
- 25,378
Leo nikiwa maeneo ya beach tulivu ya ununio yapata saa 1830 nimekaa nikiangalia na kutafakali maisha yanavosonga, nyuma yangu walikaa wazee flani hv wakike na kiume, gafla nikasikia kijana mmoja akisema "
sasa wengine wanaagiza soda na wengine bia niwaruhusu au utakuja kulipa
" mh, nilishtuka ila nikasema ndani ya nafsi yangu labda wanavunja kamati au ni uchakavu kutokana na utaratibu wa vikao vya harusi.
Baadaya ya 8mins wale wazee sikuwaona pale nyuma yangu, niligeuka na kuangalia vizuri kulikuwa na pkpk bodaboda nyiiingii pembeni na kilichoendelea ni kusikia makofi na vinywaji vikigongana kwa pembeni palipokuwa na ukumbi hv, nlsogea na kusikia ' ccm ouyeee ' na maneno mengine ya kuwapa ushupavu vijana kuhusu uchaguzi kwa wao kutumika kwny kampen.
Nilipotaka kuingia nikaulizwa wewe pkpk yako iko wapi, nikazuga kama namuangalia jamaa yangu flani, kisha nikasepa.
Angalizo:
Ukawa kuweni macho na tambueni rafu wanazocheza wenzenu ccm si lelemama.
Kampeni gani usiku usiku ?
Baadaya ya 8mins wale wazee sikuwaona pale nyuma yangu, niligeuka na kuangalia vizuri kulikuwa na pkpk bodaboda nyiiingii pembeni na kilichoendelea ni kusikia makofi na vinywaji vikigongana kwa pembeni palipokuwa na ukumbi hv, nlsogea na kusikia ' ccm ouyeee ' na maneno mengine ya kuwapa ushupavu vijana kuhusu uchaguzi kwa wao kutumika kwny kampen.
Nilipotaka kuingia nikaulizwa wewe pkpk yako iko wapi, nikazuga kama namuangalia jamaa yangu flani, kisha nikasepa.
Angalizo:
Ukawa kuweni macho na tambueni rafu wanazocheza wenzenu ccm si lelemama.
Kampeni gani usiku usiku ?