Nyie endekezeni njaa tu mtakuja kuuza hadi familia zenu. Akili za msimu hizi baaadae mnaanza kulia kama watoto wadogoNdo ukweli mtupu, lazima ukawa wapigane sasa! Tutaona rangi zao za ukweli.
Njaa haina baunsa, italipwa kutokana na jasho lako, hamna bure bure hapa!
Safi sana Dr. Tulia.
Inaonyesha jinsi waliyokutuma walivyofilisika hoja. Pia inaonyesha jinsi njaa yako inavyokupa tabu, uko tayari kubebesha hata takataka.Katika kikao chao cha jana walikuwa na agenda mbili. Moja, ni kuhusu hali ya siasa nchini baada ya jeshi la polisi kuzuia mikutano yao kufanyika kanda ya ziwa. Na pili, ni kuhusu agenda ya Naibu Spika kuweka msimamo rasmi kwa wabunge wanaotoka nje kutopokea posho tena kuanzia sasa..
Hii agenda ya pili ilipasua kikao, na mpaka ilifikia hatua ya ngumi kurushwa. Hali hii ilitokea baada ya wabunge wengi kutaka hatua ya kurudi bungeni na kulaumu uongozi kuwa ulikurupuka kuchukua maamuzi na kwa upande mwingine uongozi wa chama hicho wakitetea msimamo wao na kuapa kutokurudi bungeni kama Dr. Tulia atakuwa kwenye kiti.
Mpaka dakika za mwisho, baadhi ya wabunge walizira na kutoka nje ya kikao. Huku wakiapa kuwa kuanzia kesho wataanza kuingia na liwalo liwe hata kama ni kufukuzwa chama... "Hatuwezi kuvumilia hali hii, tuna majukumu majimboni, tuna familia, tuna watoto shule sasa kama wanataka tusichukue posho ni ukomo wa akili uliokithiri. Hatuwezi kamwe, na kuanzia kesho tunarudi mjengoni"... Moja wao amenukuliwa..
Mytake: Njaa haina baunsa!
Hizi akili za kushikiwa zitaathiri sana kizaz hiki cha Tanzania, unakaa na wewe unabeba ujinga na kutoa mishipa ukiamini?Hapa ndo unajua wengi wameenda kuchukuwa posho na si kutetea wananchi. Maana muda wote wanaenda kusaini ili kufuata posho.
Huu uhuni na wataumana wenyewe tu.
Hizi akili za kushikiwa zitaathiri sana kizaz hiki cha Tanzania, unakaa na wewe unabeba ujinga na kutoa mishipa ukiamini?
Una uhakika hawakuzisaini kama wanavyofanya sasa hv? Tulia kachaguliwa na serikali? Au wabunge wenzake?Mhhhhh. Yaani Lumumba bhana,. Kama waliweza kususia m30 bunge la katiba itakuwa vilaki vya vikao vya bunge? Tena kwa vikao vinavyo ongozwa na mteule wa serekali bi Tulia tu? Kajipange uje tena.
Kwa mujibu wako ni kwamba umeamini kilichoandikwa hapo juu.
Adui muombee njaaKatika kikao chao cha jana walikuwa na agenda mbili. Moja, ni kuhusu hali ya siasa nchini baada ya jeshi la polisi kuzuia mikutano yao kufanyika kanda ya ziwa. Na pili, ni kuhusu agenda ya Naibu Spika kuweka msimamo rasmi kwa wabunge wanaotoka nje kutopokea posho tena kuanzia sasa..
Hii agenda ya pili ilipasua kikao, na mpaka ilifikia hatua ya ngumi kurushwa. Hali hii ilitokea baada ya wabunge wengi kutaka hatua ya kurudi bungeni na kulaumu uongozi kuwa ulikurupuka kuchukua maamuzi na kwa upande mwingine uongozi wa chama hicho wakitetea msimamo wao na kuapa kutokurudi bungeni kama Dr. Tulia atakuwa kwenye kiti.
Mpaka dakika za mwisho, baadhi ya wabunge walizira na kutoka nje ya kikao. Huku wakiapa kuwa kuanzia kesho wataanza kuingia na liwalo liwe hata kama ni kufukuzwa chama... "Hatuwezi kuvumilia hali hii, tuna majukumu majimboni, tuna familia, tuna watoto shule sasa kama wanataka tusichukue posho ni ukomo wa akili uliokithiri. Hatuwezi kamwe, na kuanzia kesho tunarudi mjengoni"... Moja wao amenukuliwa..
Mytake: Njaa haina baunsa!
Umesahau kuwa kwao Hugo ndio Mungu? Ndio maana akikosolewa inaonekana kama kufuru.Umechanganyikiwa? Goti linapigwa kwa Bwana Yesu tu, Magufuli kwako ni wa kuabudiwa? Msahafu unasema "ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba" [Filipi 2:10-11].
Inaonyesha jinsi waliyokutuma walivyofilisika hoja. Pia inaonyesha jinsi njaa yako inavyokupa tabu, uko tayari kubebesha hata takataka.