First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,317
- 1,484
Nasema hivyo tena kwa sauti kubwa... Kipindi lowassa akiwa ccm walimwita majina yote machafu na kumdhalilisha kwa kila namna... Leo amehamia cdm wanamwona kama mwokozi!!! Shame on you all... Binafsi mimi ninamkubali sana lowassa tangu mkiwa mnamwita fisadi na ndo maana bado niko nae.. Hata kama angesimama kama mgombea binafsi bado ningesimama nyuma ya lowassa kwani nauamini sana utendaji kazi wake na hakuna aliewahi kuuthibitisha ufisadi wake zaidi ya porojo tu..