UKAWA na Lowassa ni Vigeugeu

UKAWA na Lowassa ni Vigeugeu

Mimi huwa siamini siasa kabisa.

Wanasias si watu wa kuwaamin. Mara nyingi naonaga ni kama wana cheza mind game
 
13233029_1590768097881921_7440964151336377693_n-jpg.360620
hii ndyo Poliyfix
 
wangekuwa hawajawahi kusema hivyo wangetusumbua sana hao politicians sema kwa kuwa walishasemaga inabidi wawe wapole tu hawana jinsi maneno hayo hayawezi kufutika sasa
 
Siasa ni kama debate dialog, haijalishi mada imekaaje ila lazima kuwe na opposer na proposer sides
Wapinzani hawatakaa waunge mkono serikali hata kama inafanya vizuri kiasi gani, yale makosa madogo watayofanya ndo points za kuipinga zitakapoanzia!
 
Magufuli hajawahi kuwa hata kiongozi wa shina

Change ni fisadi Leo ni mwenyekiti wa Bunge,
 
Dodoma yamewashinda sasa mnahaha jamii forum hili limewafia
 
Ni wajinga tuu ambao mtu unayeamini kafanya jambo baya na ukamtuhumu lakini akafunguka na ukaujua ukweli halafu wasibadilike eti kwa kuwa hapo awali waliamini kuwa ni mbaya.

Hayo ni ya Mungu tuu anayejua mpaka ndani ya mioyo yetu lakini sio mwanadamu. Lowasa aliuweka wazi ukweli na wakaufahamu, ulitaka wawe wajinga kusimamia kauli hata kama hazikuwa sahihi?

Na lini mtaacha kumuogopa Lowasa na kumuona ni mwanasiasa Mtanzania kama wengine? Au kwa vile kura milioni 6 minus alizoibiwa ni tishio kwa kura milioni 8 plus za wizi?
 
Politics is a dynamic situation, sioni tatizo lao. They were right according to that time. Hiyo ndio burudani katika siasa!
 
BAVICHA huwa wanajifanya hawajaona huu uzi
nani aongelee ujinga huo,hao makomredi walichoongea ndicho kilichokuwa watanzania wameaminishwa na bunge chini ya kamati ya mwakyembe,lkn baada ya ukweli kujulikana na muhusika kusema nipelekeni mahakamani na ,paka leo watu wenye dola, na majeshi wamenymaza nani mwenye ukweli hapo,kwenye ukweli uongo hujitenga,tumeujua ukweli hatuna muda wa kubishana na wasaka tonge.
 
Hao ndo wanabamadiliko. Kwani ulielewa maana ya lowasa mabadiliko na kuzungusha mikono anti clockwise?
 
Back
Top Bottom