wamisako
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 917
- 872
Nachukia sana palee ninapokua naona chama kimoja tu ndio kinaonyesha mikutano live kwenye TV. Hivi jamani sie ambao tuko mbali hatuwezi kuwafata tutaskiaje sera?? Kuna watu wanahitaji mabadiliko kweli lakini akipigwa swali kwanini unahitaji mabadiliko hana jibu.
Sio wote tuna upeo mkubwa wa kufikiria mambo, kuna watu wengi sana wanalilalamikia hili suala na wanashangaa Ukawa kwanini isifanye hivi kwenye kipindi hiki cha siku zilizobaki zote. Watu bado wanahitaj kujua sera za kila chama ili wafanye maamuzi sahihi October 25, lakin kila wanapofungua TV channel zaidi ya mbili zinaonesha mkutano wa chama kimoja.
Kuonesha kwenye TV na kitangaza redioni ni moja wapo na kusambaza sera za chama na watu kuskiliza na kuchanganua kwa umakini. Taarifa ya habari haitoshi maana hutumia muda mchache sana hivo ni vigumu kujua mambo mengi yaliyozungumziwa.
Ukisikia bao la mkono, sio lazima waibe kura, hata kuonesha kwenye TV linaweza kuwa bao la mkono, Ukawa jipangeni.
Sio wote tuna upeo mkubwa wa kufikiria mambo, kuna watu wengi sana wanalilalamikia hili suala na wanashangaa Ukawa kwanini isifanye hivi kwenye kipindi hiki cha siku zilizobaki zote. Watu bado wanahitaj kujua sera za kila chama ili wafanye maamuzi sahihi October 25, lakin kila wanapofungua TV channel zaidi ya mbili zinaonesha mkutano wa chama kimoja.
Kuonesha kwenye TV na kitangaza redioni ni moja wapo na kusambaza sera za chama na watu kuskiliza na kuchanganua kwa umakini. Taarifa ya habari haitoshi maana hutumia muda mchache sana hivo ni vigumu kujua mambo mengi yaliyozungumziwa.
Ukisikia bao la mkono, sio lazima waibe kura, hata kuonesha kwenye TV linaweza kuwa bao la mkono, Ukawa jipangeni.