ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,116
DC anatafuta kick kwa Rais na Meya anatafuta kick kwa wananchi sasa huoni ipi ni nzuri hapo
DC hawana kazi. Tupa kule. Meya na mkurugenzi wanatosha. Kiusalama ocd na usalama wa Taifa wanatosha. Kuratibu taarifa za wilaya DAS anatosha.