UKAWA mnchezea shilingi kwenye tundu la choo

UKAWA mnchezea shilingi kwenye tundu la choo

UKAWA wamefulia....imekula kwao

walolitaka halijawa

Ukawa has nothing to lose. Mwananchi wa kawaida ndiye atakayeumia. Tatizo watu wanachukulia the whole thing kama mashindano ya simba na yanga. Hili ni suala la mustakabali wa nchi nzima. Too sad. Thinking capacity ya watu wengine is xtremely low.
 
Ukawa has nothing to lose. Mwananchi wa kawaida ndiye atakayeumia. Tatizo watu wanachukulia the whole thing kama mashindano ya simba na yanga. Hili ni suala la mustakabali wa nchi nzima. Too sad. Thinking capacity ya watu wengine is xtremely low.

Usijali tunafanya njia kwaajili yako...

Relax
 
Hata mimi nimemsikia.Hapa ninachokiona ni ujanja wa kutaka kutumia daftri la zamani la wapiga kura ili kukwepa kutumia daftari jipya na ninaimani hofu yao ni iwapo vijana wengi watajiandikisha wanaweza poteza katika kura ya maoni.
 
Wanaoshangilia na kushabikia hali hii nawashangaa sn.
Watu wenye akili zao na wapo serikalini wanakataa na kupinga vikali katiba hii kwakuwa ni katiba HATARI SANA.Na haijapatikana kwa utaratibu unaostahili.
Hawa wenzetu ambao ni masikini kama sisi wanapata wapi ujasiri wa kuyasema na kuyashabikia haya? wakati nao ni wahanga wa uozo huu?
"WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA"
 
Haiwezekani vijana 5.3 milioni anyimwe fursa ya kupiga kura ya maoni juu ya katiba yao , takwimu ni kwa mujibu wa sensa ya 2012 .
 
Na bungeni ilisemwa kuwa haitopita. Itakwama Dar ila mikoani itapita bila wasi wasi.
Sasa nani kakwambia kama huko Bungeni ilipita ,sijui unaelewa wanachozungumza watu ,wewe umeona wapi kura za siri za WaZanzibari kusafirishwa ,kura selasini ,na ukiyatazama masanduku yote hakuna tupu kila moja lina kalatasi,alafu unasema imepita,huko si kupita ni kupitishwa,sijui umeona ni jinsi gani Sita alivyoweka delay na pause akisubiri kura za facebook ,umeona dunia gani,ilikuwaje kura mbili ukawa wakapiga kura wakati walikwishajitoa,eti Hamadi Rashidi ndio kibaraka wa kutafuta kura,hivi hujiulizi kura zinatafutwa sehemu kama ile ya bunge ,huko si kupita ni kupitishwa ,Labda nikuondoe njiani ,kama unaenda mpirani Simba na Yanga ,kuna kukata tiketi ,sasa ukikata tikeni unapita bila ya tabu au shida ,je ikiwa huna tiketi unapita au unapitishwa ,akili kichwani mwako ! Au unataka kusaidiwa akili !
 
wanajamvi,

kwa jinsi nilivyofuatilia hotuba ya rais wetu mpendwa jk ni wazi kuwa katiba iliopendekezwa inaweza kupatikana kabla hata ya uchaguzi.

Ina maana kuanzia leo tunahesabu siku 84 tupate katiba mpya na hilo nahisi litakuwa hivo kwa sababu wasipofanya hivo itabidi muswada upelekwe bungeni ili kurekebisha masharti yanayosema ipatikane siku 84 baada ya rais kuipokea.

hongera rais na sisi wazalendo tunataka katiba ipatikane mapema.ukawa imekula kwenu endeleeni kuandamana wakati sisi tunaipigia kura katiba.

huu ndio ujinga ambao ccm na viongozi wake wanaoutumia kutufaidi. Hivi maana ya uzalendo kumbe ni kuchakachua mambo? Viongozi kibao kama si wote ndani ya ccm ni wezi a mafisadi na haohao wanajitambulisha kuwa wazalendo
 
Kwani katiba ni mashindano nyie wapuuzi wa CCM....UKAWA hawataumia kwa lolote...wanaoumia ni wananchi watakaoteseka na katiba mbovu kwa miaka mingi ijayo...including wewe na wajukuu wako na watoto wa wajukuu wako

Asante sana kwa kumpatia ukweli wake maana anajifanya kuwa yeye siyo mtanzania .watetezi wa wanyonge wanaonekana ndio maadui kama hawa
 
Wanajamvi,

Kwa jinsi nilivyofuatilia hotuba ya RAIS wetu mpendwa JK ni wazi kuwa katiba iliopendekezwa inaweza kupatikana kabla hata ya uchaguzi.

Ina maana kuanzia leo tunahesabu siku 84 tupate katiba mpya na hilo nahisi litakuwa hivo kwa sababu wasipofanya hivo itabidi muswada upelekwe bungeni ili kurekebisha masharti yanayosema ipatikane siku
84 baada ya Rais kuipokea.

Hongera Rais na sisi wazalendo tunataka katiba ipatikane mapema.UKAWA imekula kwenu endeleeni kuandamana wakati sisi tunaipigia kura katiba.

ni kweli katiba ya kikwete inaweza kupatikana muda wowote,lakini
 
Katiba hii itapita kwa kishindo hilo halina wasiwasi

Kwa daftari lile lile ambalo hamtaki liboreshwe! lazima katiba ipite , na huo muda wa siku84 wakati daftari halijaboreshwa yawezekana kwrli? Au sababu Katiba ni ya CCM basi wana CCM ndiyo wenye haki ya kupiga kura hongereni.Maana wachache mtskuwa wadhindi na wengi tutakuwa tumelizwa.Kama mnafikiri mnapigana na Ukawa mjue mmeshashindwa vita vyenu sasa ni bsina ya CCM na watawaliwa.Kama haujalijua badi hilo nakupa ulifahamu.
 
Back
Top Bottom