Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,308
- 4,294
Kwani wewe kwa akili yako unategemea kwa gazeti linalomilikiwa na Rostam Aziz kwa 100% litaandika habari za namna gani kuhusu Ukawa?!
Kwa sasa hakuna Mtanzania mtakayeweza kupindua akili yake na msimamo wake kwa njia hiyo. Wananchi wameshashtuka kama MaCCM yanawatapeli tu.
Ova
Kama chadema ilivyotapeliwa na Mbowe kwa kuuziwa mafuso mabovu kwa mil 600, hatari sana!